Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,304
- 12,965
Rais kamng'oa RC wa Moro kwa uzembe lakini wa Dar mwenye makosa yanayofanana na ya wa Moro kaachwa.
Inawezekana wa Dar ana Kinga kikatiba kutoguswa?
Maana inapofika rais anaongelea mapungufu ya RC wa Dar huwa anakuwa kama vile hana uwezo naye.
Tuliona hata wakati wa makontena alimuongelea kinyonge sana kana kwamba hana la kumfanya
Inawezekana wa Dar ana Kinga kikatiba kutoguswa?
Maana inapofika rais anaongelea mapungufu ya RC wa Dar huwa anakuwa kama vile hana uwezo naye.
Tuliona hata wakati wa makontena alimuongelea kinyonge sana kana kwamba hana la kumfanya