Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,653
- 218,143
Inasemekana huyu ndio Mkurugenzi wa kwanza kuwahi kuwepo kwenye Manispaa ya jiji la DSM na kutokomea na Viapo vya mawakala wa chama cha siasa walioapa kihalali ili kusimamia chama chao kwenye vituo vya kupigia kura kama sheria inavyoelekeza.
Taarifa zaidi zinadokeza kwamba , kama atatekeleza mipango yake anayoipanga gizani kuhusiana na uchaguzi wa Kinondoni , basi jina lake laweza kuingia kwenye kitabu cha kumbukumbu za Watanzania watakaokumbukwa kwa kitambo kirefu
Kutokana na uzito wa aibu aliyojitwisha kijasiri ili kuokoa chama chake cha ccm , nimeona nije kwenu ili tumfahamu vizuri mtu huyu mtiririko wa utendaji wake pote alipopita ikiwa ni pamoja na kiwango cha elimu yake pamoja na shule alizopitia .
Natanguliza shukrani .
Taarifa zaidi zinadokeza kwamba , kama atatekeleza mipango yake anayoipanga gizani kuhusiana na uchaguzi wa Kinondoni , basi jina lake laweza kuingia kwenye kitabu cha kumbukumbu za Watanzania watakaokumbukwa kwa kitambo kirefu
Kutokana na uzito wa aibu aliyojitwisha kijasiri ili kuokoa chama chake cha ccm , nimeona nije kwenu ili tumfahamu vizuri mtu huyu mtiririko wa utendaji wake pote alipopita ikiwa ni pamoja na kiwango cha elimu yake pamoja na shule alizopitia .
Natanguliza shukrani .