CAG: TTCL yapata hasara ya shilingi Milioni 894. Yarejesha ruzuku kama mapato

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,817
4,566


Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere amebaini Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limepata hasara ya Sh894 milioni licha ya kupokea ruzuku ya Sh4.55 bilioni kutoka serikalini.

Hata hivyo, hasara kwa shirika hilo imepungua kwa asilimia 94. CAG amesema shirika hilo limerejesha Sh4.4 bilioni kutoka kwenye ruzuku hiyo kama mapato yake kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

CAG Kichere amesema hayo leo Machi 28, 2024 wakati akiwasilisha taarifa yake ya ukaguzi kwa Rais Samia Suluhu Hassan, Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma.
 
Hapo Ethiopia wanashirika la uma lasimu linaperform kwanini wasijifunzee??
Kuna Ethiopian/kenya airways kwanini tusijifunzee?
Uchukuzi ni hasara tuuupu LAKINI waziri anakaa kwenye tv nakujisifia kuwa wanafanya makubwa kwanini asitimuliweeee???
Hatujajua huko kwenye mareli kukoje nako itakuwa nihasara mwanzo mwishooo
 
Hiyo milioni za hasara zimetumika kulipana mishahara na posho, safi sana TTCL maslahi ya tumbo kwanza kabla ya taifa.
 
Hii nchi ni ya kipimbi sana. Mambo kama haya ndiyo yanayoua uzalendo
 
Watu wenye akili wapo jobless,kwenye ofisi za umma kumejaa tabular rasa,haya ndio matokeo ya kubebbana bebana
 
View attachment 2947314

Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere amebaini Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limepata hasara ya Sh894 milioni licha ya kupokea ruzuku ya Sh4.55 bilioni kutoka serikalini.

Hata hivyo, hasara kwa shirika hilo imepungua kwa asilimia 94. CAG amesema shirika hilo limerejesha Sh4.4 bilioni kutoka kwenye ruzuku hiyo kama mapato yake kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

CAG Kichere amesema hayo leo Machi 28, 2024 wakati akiwasilisha taarifa yake ya ukaguzi kwa Rais Samia Suluhu Hassan, Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma.

Hakuna kitu kiliwahi kuwa chini ya usimamizi wa Serikali ya CCM halafu kikawa na ufanisi. Mashirika ya umma huwa yanashindana kwa kutengeneza hasara. Tena hapa TTCL wakae chonjo, wanaweza kuzidiwa katika kutengeneza hasara na ATCL. Sidhani kama ATCL itakubali kunyang'anywa nafasi yake.
 
L
Hakuna kitu kiliwahi kuwa chini ya usimamizi wa Serikali ya CCM halafu kikawa na ufanisi. Mashirika ya umma huwa yanashindana kwa kutengeneza hasara. Tena hapa TTCL wakae chonjo, wanaweza kuzidiwa katika kutengeneza hasara na ATCL. Sidhani kama ATCL itakubali kunyang'anywa nafasi yake.
Lini kitu kilikuwa chini ya chadema kikawa na ufanisi.
 
Hakuna kitu kiliwahi kuwa chini ya usimamizi wa Serikali ya CCM halafu kikawa na ufanisi. Mashirika ya umma huwa yanashindana kwa kutengeneza hasara. Tena hapa TTCL wakae chonjo, wanaweza kuzidiwa katika kutengeneza hasara na ATCL. Sidhani kama ATCL itakubali kunyang'anywa nafasi yake.
CCM ni LAANA,siku hili BLANKET likitoka kichwani mwa watanzania,..MOTO utawaka
 
Hapo Ethiopia wanashirika la uma lasimu linaperform kwanini wasijifunzee??
Kuna Ethiopian/kenya airways kwanini tusijifunzee?
Uchukuzi ni hasara tuuupu LAKINI waziri anakaa kwenye tv nakujisifia kuwa wanafanya makubwa kwanini asitimuliweeee???
Hatujajua huko kwenye mareli kukoje nako itakuwa nihasara mwanzo mwishooo
Kenya Airways ndo wamepata faida mwaka huu kwa mara ya kwanza baada ya miaka Saba, itakuwa shirika letu pendwa?
 
Back
Top Bottom