Afya ya akili ya viongozi wetu ni muhimu kwa mustakabali wa uongozi wetu

sammosses

JF-Expert Member
Jan 24, 2011
1,682
1,110
Sakata la waziri wa michezo na serikali yake dhidi ya mashabiki wa mpira mbali na kutikisa mahusiano ya kidiplomasia yameiweka serikali njia panda kwa kuingilia Uhuru wa michezo hususani mpira wa miguu.

Moja ya kauli mbiu kubwa ya kimichezo ni michezo huleta furaha,ujenga udugu na mshikamano,lakini serikali hii ya CCM bila weredi imemruhusu waziri wake mwenye dhamana hiyo,badala ya kunadi sera ya michezo anatangaza enemity na discrimination kwa mashabiki.

Maanake anawagawa raia wa nchi hii kwa misingi ya utaifa kutokana na jezi,kwa kuwataka wakiva jezi ya Mamelodi na Ahly wake na passport kinyume kabisa na taratibu za michezo duniani na Afrika.

Mbaya sana hata Rais wa TFF bila tafakuri pamoja kutoa taarifa ya kupinga kauli hiyo aliingia kwenye mfumo wa waziri kupigia chapuo kauli hiyo.

Serikali iliyobebeshwa mzigo wa lawama za mashabiki na Mtendaji wake mkuu wa wizara inayosimamia michezo nayo haikupinga kauli ya waziri wake japo aliitoa maradufu. Maanake serikali inapokuja Leo na Maelezo ya msemaji wao kuwa ni utani wa waziri,unaifanya serikali kukosa weredi na umakini Mkubwa katika kuwaongoza wananchi.

Hii inatoa picha hata goli la fedha za rais hazina tija zaidi ya ubadhilifu na kutafuta sifa,kwa kuwa haliendani na mantiki ya kuimarisha mahusiano ya kimichezo.

Matinyi kauli yako imeongeza wigo mpana wa wanamichezo duniani kuiona serikali yetu isivyo thamini na isiyojua chochote kuhusu michezo,ni Bora mngenyamaza kimya mkaiachia TFF kuendelea na double standard yake kwa kutokuwa na msimamo kwa ubendera wake unaozingatia upepo.

Michezo ndiye imeleta mshikamano na umoja wa wanyarwanda jifunzeni hata kwa picha kuliko ukanjanja huu unaokwenda kuzitesa timu zetu ugenini. Msiliangamize Taifa kwa upungufu wa maarifa yenu.

#makalioyasufuriahayaogopimoto
 
Uliisoma hii
images%20(69).jpg
 
hii ishu ya Afya ya akili mnalikuza sana

huezi sema mtu anamatatizo. kama hujampima au uthibitisho wa kitaalamu
Afya ya akili ni muhimu sana kwa viongozi,nchi za wenzetu viongozi lazima wapimwe utimamu wasije liingiza Taifa kwenye majanga
 
Wala usishangae siku itoke mtu kama gigy money akapewa uongozi kwenye serikali hii

Ova
 
hii ishu ya Afya ya akili mnalikuza sana

huezi sema mtu anamatatizo. kama hujampima au uthibitisho wa kitaalamu
Hao vichaa unaokutana nao wanazurula mitaani WALIPIMWA AKILI na nani? Ndumbaro ana tofauti gani na vichaa wengine? Au kwa sababu anaendeshwa kwenye V8
 
Hao vichaa unaokutana nao wanazurula mitaani WALIPIMWA AKILI na nani? Ndumbaro ana tofauti gani na vichaa wengine? Au kwa sababu anaendeshwa kwenye V8
Ukanjanja mwingi sana kwenye nchi hii,bila Mamelodi business will be as usual
 
hii ishu ya Afya ya akili mnalikuza sana

huezi sema mtu anamatatizo. kama hujampima au uthibitisho wa kitaalamu
'Ili kujua kwamba mtu fulani ni kichaa siyo lazima mpaka uwe daktari wa afya ya binadamu.' Sometimes, matendo yake mtu ni uthibitisho tosha kwamba mtu Fulani ni kichaa.
 
hii ishu ya Afya ya akili mnalikuza sana

huezi sema mtu anamatatizo. kama hujampima au uthibitisho wa kitaalamu
Kwani unafikiri ni uongo?Huyo waziri wako wa michezo alichokitamka je kina afya kwa tasnia ya michezo???Na huyo Matinyi lugha yake ni ya akili kweli kwenye nchi kubwa kama Tanzania????Afadhali mjinga ambaye hakusoma lakini ni tajiri wa mali na mawazo kuliko aliyepoteza muda darasani na kujaza ujinga na umaskini kichwani.
 
Sakata la waziri wa michezo na serikali yake dhidi ya mashabiki wa mpira mbali na kutikisa mahusiano ya kidiplomasia yameiweka serikali njia panda kwa kuingilia Uhuru wa michezo hususani mpira wa miguu.

Moja ya kauli mbiu kubwa ya kimichezo ni michezo huleta furaha,ujenga udugu na mshikamano,lakini serikali hii ya CCM bila weredi imemruhusu waziri wake mwenye dhamana hiyo,badala ya kunadi sera ya michezo anatangaza enemity na discrimination kwa mashabiki.

Maanake anawagawa raia wa nchi hii kwa misingi ya utaifa kutokana na jezi,kwa kuwataka wakiva jezi ya Mamelodi na Ahly wake na passport kinyume kabisa na taratibu za michezo duniani na Afrika.

Mbaya sana hata Rais wa TFF bila tafakuri pamoja kutoa taarifa ya kupinga kauli hiyo aliingia kwenye mfumo wa waziri kupigia chapuo kauli hiyo.

Serikali iliyobebeshwa mzigo wa lawama za mashabiki na Mtendaji wake mkuu wa wizara inayosimamia michezo nayo haikupinga kauli ya waziri wake japo aliitoa maradufu. Maanake serikali inapokuja Leo na Maelezo ya msemaji wao kuwa ni utani wa waziri,unaifanya serikali kukosa weredi na umakini Mkubwa katika kuwaongoza wananchi.

Hii inatoa picha hata goli la fedha za rais hazina tija zaidi ya ubadhilifu na kutafuta sifa,kwa kuwa haliendani na mantiki ya kuimarisha mahusiano ya kimichezo.

Matinyi kauli yako imeongeza wigo mpana wa wanamichezo duniani kuiona serikali yetu isivyo thamini na isiyojua chochote kuhusu michezo,ni Bora mngenyamaza kimya mkaiachia TFF kuendelea na double standard yake kwa kutokuwa na msimamo kwa ubendera wake unaozingatia upepo.

Michezo ndiye imeleta mshikamano na umoja wa wanyarwanda jifunzeni hata kwa picha kuliko ukanjanja huu unaokwenda kuzitesa timu zetu ugenini. Msiliangamize Taifa kwa upungufu wa maarifa yenu.

#makalioyasufuriahayaogopimoto
We kweli ni poyoyo na hamnazo. Unalalamikia kitu gani, kushabikia timu za mataifa ya watu? We ndio una matatizo ya akili. We ni limbukeni lisilojitambua, waziri wetu ni mzalendo wa kweli. Umepoteza muda wako kuandika huu upupu? So sad.
 
Sakata la waziri wa michezo na serikali yake dhidi ya mashabiki wa mpira mbali na kutikisa mahusiano ya kidiplomasia yameiweka serikali njia panda kwa kuingilia Uhuru wa michezo hususani mpira wa miguu.

Moja ya kauli mbiu kubwa ya kimichezo ni michezo huleta furaha,ujenga udugu na mshikamano,lakini serikali hii ya CCM bila weredi imemruhusu waziri wake mwenye dhamana hiyo,badala ya kunadi sera ya michezo anatangaza enemity na discrimination kwa mashabiki.

Maanake anawagawa raia wa nchi hii kwa misingi ya utaifa kutokana na jezi,kwa kuwataka wakiva jezi ya Mamelodi na Ahly wake na passport kinyume kabisa na taratibu za michezo duniani na Afrika.

Mbaya sana hata Rais wa TFF bila tafakuri pamoja kutoa taarifa ya kupinga kauli hiyo aliingia kwenye mfumo wa waziri kupigia chapuo kauli hiyo.

Serikali iliyobebeshwa mzigo wa lawama za mashabiki na Mtendaji wake mkuu wa wizara inayosimamia michezo nayo haikupinga kauli ya waziri wake japo aliitoa maradufu. Maanake serikali inapokuja Leo na Maelezo ya msemaji wao kuwa ni utani wa waziri,unaifanya serikali kukosa weredi na umakini Mkubwa katika kuwaongoza wananchi.

Hii inatoa picha hata goli la fedha za rais hazina tija zaidi ya ubadhilifu na kutafuta sifa,kwa kuwa haliendani na mantiki ya kuimarisha mahusiano ya kimichezo.

Matinyi kauli yako imeongeza wigo mpana wa wanamichezo duniani kuiona serikali yetu isivyo thamini na isiyojua chochote kuhusu michezo,ni Bora mngenyamaza kimya mkaiachia TFF kuendelea na double standard yake kwa kutokuwa na msimamo kwa ubendera wake unaozingatia upepo.

Michezo ndiye imeleta mshikamano na umoja wa wanyarwanda jifunzeni hata kwa picha kuliko ukanjanja huu unaokwenda kuzitesa timu zetu ugenini. Msiliangamize Taifa kwa upungufu wa maarifa yenu.

#makalioyasufuriahayaogopimoto
ukiacha hilo serikali iangalie watu potential despite usomi walionao. Mfano huyo hapo ni phd holder and yuko hivyo? Kaipataje hiyo phd
 
Back
Top Bottom