Dini gani? 🐼Wenye dini yao unawabishia?
Huo ni unafiki kwanini hakusema wakati magufuli yupo hatuwezi kusikiliza maneno ya upande mmoja tu kama kwenye kanga angesema na Magufuli yupo ili tusikie naye atasemaje hapo mzee umefeli pakubwa sanaaaaaaaaaaDunia haina siri, waislamu wamefunguka kwamba ule msikiti ambao JPM alikuwa anatamba kuwaombea waislamu wajengewe kumbe ni kazi iliyoanza enzi ya JK mpaka Mufti akasafiri kwenda kwa nchi iliyofadhili ili wakajadiliane.
Iwe bhojo!
View attachment 2945023
Alikuwa ni mtu wa kulazimishia point za mezani ili kuteka wajinga.😂
Sasa Shujaa Magufuli aliingiaje Ndani ya huo msikiti na kuagiza AC ziongezwe nk nk?!🐼
Unaweza kulazimisha kuingia Msikitini ilhali wewe siyo Islam?Alikuwa ni mtu wa kulazimishia point mezani ili kuteka wajinga.
Dunia haina siri, waislamu wamefunguka kwamba ule msikiti ambao JPM alikuwa anatamba kuwaombea waislamu wajengewe kumbe ni kazi iliyoanza enzi ya JK mpaka Mufti akasafiri kwenda kwa nchi iliyofadhili ili wakajadiliane.
Iwe bhojo!
halafu anakuja mtu from no where anasema aliomba jk ili ionekane kuwa mwislam mwenzao ndiyo kauomba unafiki huo