LUS0MYA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 862
- 1,097
Majuzi taarifa zilijitokeza kuhusu kupata mwendeshaji wa mradi wa mabasi ya mwendokasi na idadi ya makampuni ya nje na mawili ya ndani yaliyojitokeza kuingia kwenye mchakato... lakini siku mbili baadaye kampuni ya ENG kutoka uarabuni imetajwa kama mwekezaji mpya? Huu mchakato ulifanyika lini na hizo kampuni mbili za wazawa ni zipi?