Wakuu hii imekaaje kama wameanza kupigana wenyewe kwa wenyewe? Kuna watu wana hatimiliki ya majimbo?
Mbunge CCM amtwanga konde M'kiti UV-CCM
Na Mussa Juma, Monduli
MBUNGE wa jimbo la Simanjiro...
Nataka tuwapambanishe Mwenyekiti mpya wa UWT, Sophia Simba na Mkurugenzi mpya wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA(BAWACHA), Mama Naomi Kaihula.
Tupitie walipopita tuone nani anaweza kuongoza...
2009-01-17 08:19:00
Fears ahead of UDSM reopening
By Beatus Kagashe
THE CITIZEN
Fears are mounting of possible demonstrations by students who have not yet been recalled to public...
Wanabodi
Naomba kwa mwenye habari zaidi atufahamishe kuhusu hili.
Katika taarifa ya habari ya jana (3 Novemba 2008) saa mbili usiku, na leo asubuhi (04 Novemba 2008), kituo cha ITV...
Yasema ni wababaishaji wasio na agenda
:: Yawahusisha Zitto, Kiwelu na watuhumiwa EPA
:: Wao wakiri kuwa na undugu na wanaotuhumiwa
:: Mbatia naye awataja kuwa ni waongo wa hoja
Benedict...
Kambi rasmi ya upinzani kuvunjika hivi karibuni. Hatua hiyo inatokana na msuguano kati ya CHADEMA na CUF. Wadadisi wa mambo wanasema kwamba kwa kanuni za bunge zinasema kwamba chama au ushirikiano...
Gazeti la Mwanahali limekamilisha kifungo cha miezi 3 (siku 90) na sasa lipo mitaani likiwa na habari motomoto juu ya kuibwa kwa nyaraka za EPA pale BOT pia kuhusu mmiliki wa Kagoda.
fungua...
Yafuatayo ni mambo ambayo yamekubaliwa kufanywa baada ya uongozi wa Mamlaka ya Bandari, Wizara ya Miundo Mbinu na Ikulu kukutana jana. Hebu tuyaangalie na tuamue ni yapi yalimhitaji Rais na...
Kuna mzee mstaafu nilikutana naye alinieleza mambo ya ajabu ya namna ya kuinua mauzo ya bidhaa za Tanzania.
Aliniambia kuwa Kuna kiwanda Tanzania kilikuwa kinajulikana kama LIGHT SOURCE...
Kazi kweli kweli!!!!
Kamata hiyo !!!!
==================================================
Hokororo: Serikali ina mgogoro na Mwananchi
Salim Said
MKURUGENZI msaidizi wa Maelezo, Raphael...
Mnajimu maarufu wa Tanzania leo ametabiri kuwa mwaka 2009 utakuwa mwaka mgumu kiuchumi (mwaka wa matatizo); pia akadai kuwa mwaka 2010 uchaguzi hautakuwa na kuibiwa kwa kura kama chaguzi...
Today marks the 80th birthday of the late great Dr. Martin Luther King Jr. As I sit here listening to his speeches being played on the radio, I couldn't help but wonder what kind of relationship...
KAMPUNI hii ya mafuta ambayo inaelekea kuagiza karibu nusu ya mafuta ytanayoagizwa Tanzania, toka EWURA kutangaza kushushwa bei imekuwa ikitufanyia vituko kwa kuhakikisha karibu vituo vyao...
Wana JF, Katika kuhangaikia wanetu wanaorudishwa vyuo Vikuu kwa taratibu ngumu, nilimpa kampani kijana wangu kuelekea SUA. Nimefika kwa mara ya kwanza na kujionea ambayo yamekuwa yakiandikwa...
UCHAGUZI 2010:
:: Ni Chadema v/s CCM Tanzania Bara
:: CCM v/s CUF Tanzania Visiwani
:: Majimbo 50 tata haya hapa
Na Waandishi Wetu
UKIWA umebakia mwaka mmoja ili kufikia uchaguzi...
Kuna nyumba za NSSF maeneo ya Ada Estate, Kinondoni zilizojengwa pamoja na hospitali ya Tanzania Heart Institute. Zimekaa tu hazipangishwi wala haziuzwi, kuna nini?
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Henry Daffa Shekifu ameitoa eneo la Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori Burunge (JUHIBU) kwa "Wanakaya" (Dhana Investment) kama wawekezaji pasipo kufuata taratibu za...
We have a large History which we never even cherish.
Mwalimu Nyerere appreared in TIME Cover a paerson of March 1964
you can view article at
TIME Magazine Cover: Julius Nyerere - Mar...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) inakusudia kuja na orodha mpya ya mafisadi kama ilivyoandikwa katika gazeti la Nipashe (Jumatatu). Tunaelewa serikali ya SISIEMU bado inajikongoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.