Asha Abdala
JF-Expert Member
- Mar 21, 2007
- 1,130
- 44
Nataka tuwapambanishe Mwenyekiti mpya wa UWT, Sophia Simba na Mkurugenzi mpya wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA(BAWACHA), Mama Naomi Kaihula.
Tupitie walipopita tuone nani anaweza kuongoza vizuri wanawake wa chama chake.
Wote ni wasomi, Sophia Simba ni mwanasheria. Naomi Kaihula ana shahada mbili za biashara.
Kwa sasa Sophia Simba ni Waziri, wakati Naomi Kaihula ni Mhadhiri chuo cha CBE.
Waliwahi kuja Zanzibar tukawasikia, mmoja ni mwongeaji kama mtu wa pwani na mwingine huzungumza kinyanda za juu.
Wote wawili ni wanaharakati wa jinsia. Kama unawajua hebu changia hoja
Asha
Tupitie walipopita tuone nani anaweza kuongoza vizuri wanawake wa chama chake.
Wote ni wasomi, Sophia Simba ni mwanasheria. Naomi Kaihula ana shahada mbili za biashara.
Kwa sasa Sophia Simba ni Waziri, wakati Naomi Kaihula ni Mhadhiri chuo cha CBE.
Waliwahi kuja Zanzibar tukawasikia, mmoja ni mwongeaji kama mtu wa pwani na mwingine huzungumza kinyanda za juu.
Wote wawili ni wanaharakati wa jinsia. Kama unawajua hebu changia hoja
Asha