Wambugani
JF-Expert Member
- Dec 8, 2007
- 1,757
- 276
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Henry Daffa Shekifu ameitoa eneo la Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori Burunge (JUHIBU) kwa "Wanakaya" (Dhana Investment) kama wawekezaji pasipo kufuata taratibu za kutengewa maeneo kama ilivyo katika Kanuni za WMAs.
Wanakaya walipopelekwa mahakamani na JUHIBU, Bwana Shekifu aliamuru kesi hiyo itolewe Mahakamani mara moja na Wanakaya waendelee kujenga Campsite kama walivyoanza.
Jambo la Mkuu wa Mkoa kutoa amri ya wawekezaji kuingilia maeneo ya Hifadhi ya Jamii ni kukiuka Sheria ya nchi. Hii ikifumbiwa jicho litaleta 'precedent' mbaya katika utaratibu mzima wa Sera wa Wanyamapori ua jamii kunufaika na matunda ya kulinda na kuhifadhi maeneo yaliyo karibu na Ardhi Tengefu.
Ekadu mosie Shekifu.
Wanakaya walipopelekwa mahakamani na JUHIBU, Bwana Shekifu aliamuru kesi hiyo itolewe Mahakamani mara moja na Wanakaya waendelee kujenga Campsite kama walivyoanza.
Jambo la Mkuu wa Mkoa kutoa amri ya wawekezaji kuingilia maeneo ya Hifadhi ya Jamii ni kukiuka Sheria ya nchi. Hii ikifumbiwa jicho litaleta 'precedent' mbaya katika utaratibu mzima wa Sera wa Wanyamapori ua jamii kunufaika na matunda ya kulinda na kuhifadhi maeneo yaliyo karibu na Ardhi Tengefu.
Ekadu mosie Shekifu.