Nemesis
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 5,462
- 4,364
Mkuu i wonder whether hii ni kweli. Inaweza kuingia akilini mwako kuwa nyaraka za EPA zimepotea? au ndio tunpigwa bao!
Mkuu i wonder whether hii ni kweli. Inaweza kuingia akilini mwako kuwa nyaraka za EPA zimepotea? au ndio tunpigwa bao!
kama kuna kosa waseme mtu kutoa maoni au alichosikia,kama hakuna kosa basi na waseme walichokifiria kuwa ni kosa mpaka dhabu itolewe ie hukumu na itekekelezwe mpaka mwisho MAANA YA UHURU NI NINI NA SHERIA YA KILINDA MAKOSA IKONAMA GANI JAMMAAANIII
Kwa kweli kuna tatizo katka habari. Nyaraka za EPA, Kagoda na Deep Green!!!!! Deep Green haipo ktk EPA. Pili hazikuibwa bali zilichukuliwa na UWT, wakiongozwa na Mzee Elisifa Ngowi, ambaye naye anatajwa ktk EPA
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/19940-epa-na-mambo-yake-25.html
UWT walikwenda BoT na kuvunja makabati baada ya Ballali kufa
Samahani mkuu unapoandika UWT nadhani humaanishi Umoja wa wanawake, right?
Seriously, ni vyema ishu hii ikaendelea kupigiwa kelele kwa sababu ni ishu ngumu sana. Kama hatuwezi kuamini vyombo vyetu vya usalama maana wao ndo wahusika wakuu katika uhalifu basi nchi hii inaelekea pabaya sana.
Kwa kweli kuna tatizo katka habari. Nyaraka za EPA, Kagoda na Deep Green!!!!! Deep Green haipo ktk EPA. Pili hazikuibwa bali zilichukuliwa na UWT, wakiongozwa na Mzee Elisifa Ngowi, ambaye naye anatajwa ktk EPA
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/19940-epa-na-mambo-yake-25.html
UWT walikwenda BoT na kuvunja makabati baada ya Ballali kufa
Hizi Kagoda na Deep Geen inawezekana ni za mtu/watu wakubwa sana katiaka nchi hii na si Rostam. Rostam asingeogopwa kiasi hiki. Hata Waziri Mkuu Pinda amesema anashangazwa na uamuzi wa DPP kutowafikisha mahakamani Kagoda. Sasa ndo tunaambiwa nyaraka zimeibiwa. If you read between the lines you must guess Mkapa or Kikwete or CCM as political part ndo wanahusika na Kagoda na Deep green na si vinginevyo.