Nduguye shahidi Lema naye afariki
2009-04-05 11:50:08
Na Mwandishi Wetu, Jijini
Raphael Mtaki ambaye ni ndugu wa karibu wa yule shahidi muhimu katika kesi ya akina Zombe, Rashidi Lema...
Nchi ya North Korea kwa miongo mingi sasa imekuwa ikitengwa katika mambo mengi ya jumuiya ya Kimataifa nakuwekewa vikwazo vya kila aina. Na yenyewe ikiwe imejitenga kwa mambo mengi inashangaza...
Serengeti buys 32 rhinos from South Africa
MUGINI JACOB in Serengeti, 6th April 2009 @ 02:52
Serengeti National Park (SENAPA) is providing special security training to game rangers as part of...
Serikali iliifuta BAWATA kwa kigezo kwamba inajihusisha na siasa. Ikaifuta NYF kwa sababu ya kujihusisha na siasa, ingawa miaka michache baadaye serikali ikatoa sababu tofauti katika maelezo...
Pengine nizue mjadala ambao unalenga utitiri wa vyama vya siasa nchini Tanzania. Vyama ambavyo vimekuwa haviiletei tija siasa ya Tanzania, kwa maana ya kuchagiza mabadiliko ya kweli na demokrasia...
Dr. Slaa, mimi nakuunga miguu na mikono yote juu ya hili.
Dk Slaa kuanika hadharani nchi nzima posho za wabunge
Na Mussa Juma, Arusha.
MBUNGE wa jimbo la Karatu, Dk Willibrod Slaa (Chadema)...
Mwezi Machi, nilipata wasaa wa kushiriki mkutano wa wananchi katika mtaa wa Kwembe, mkutano mambo kadhaa niliyatakari siku hiyo yaliyonifanya niandike makala ifuatayo ambayo naamini maudhui yake...
Leo ninao wakina mama wanaojifanya wanaharakati ukiwasikiliza unaweza kuzima fegi kwa maneno ya ya kiharakati dhidi ya wanawake
..kilichonisukuma kuanzisha hii thread ni majuzi mlisikia...
Nchi inavyotafunwa
2009-04-05 12:41:01
Na Abdallah Bawazir
Tanzania inaendelea kupoteza mamilioni ya fedha kutokana na serikali kusuasua kupeleka bungeni muswada wa sheria itakayoongoza...
Rostam, Lowassa wafumwa kikaoni
Vyote vyafanyika ofisini kwa bw Edward Lowassa
Katibu Mkuu CCM, Makamba abainika alikuwepo
Vilifanyika Alhamisi wiki hii na vingine Jumatatu wiki hii kuanzia saa...
Hali ya kisiasa ya zanzibar ilivyo sasa hivi ni kama burundi au rwanda.
Zanzibar hakuna upinzani wa kisiasa bali kuna ukabila. Waunguja wanapigia kura ccm na wapemba cuf.
Kwa mantiki hiyo...
KILIMO KIKUBWA, UTUMWA MPYA (1)... YAMEKUWA HAYA! UTUMWA???
Na Joseph Mihangwa
0713-526 972
jmihangwa@yahoo.com
Mwanahalisi Issue # 130, April 1-7
KATIKA hali isiyotarajiwa, na pengine...
naomba ufafanuzi Mkuu wa wilaya, Mtendaji na Mjumbe majukumu yao hasa ni yapi?
je mkuu wa willaya na Mkurugenzi wa manispaa/halmashauri nani ni bosi na mipaka ya majukumu yao ikoje.
KWANINI WATANZANIA WANAMLAUMU MWALIMU NYERERE KWA KUKOSA ELIMU?
Sababu mbalimbali ambazo wametoa wadau ughaibuni
Hivi karibuni nilikuwa nje ya nchi nikakutana na watanzania waishio nje ya...
"Rais Jakaya Mrisho Kikwete (katikati) Mwenyekiti wa chama cha CUF, Profesa Ibrahim Lipumba (kushoto) na Katibu Mkuu wa CUF Seif Shariff Hamad wakitoka nje ya ukumbi wa Hoteli ya Lamada Dar es...
Waziri Masha, Mweka Hazina Mansor washtakiana CCM
Na Frederick Katulanda, Mwanza
UGOMVI wa kugombea majimbo ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) sasa umehamia katika Mkoa wa Mwanza baada...
Tuna fish storage charges pile up: as court dilly-dallies with fish sale permit
SAYUNI KIMARO
THIS DAY
Dar es salaam
THE government of Tanzania is set to pay a hefty price for keeping...
Mbowe amvaa Kikwete
Ambeza kutangaza kufunga mjadala wa Dowans
na Edward Kinabo
Tanzania Daima~Sauti ya Watu
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe...
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, leo amekaa meza moja na Mwenyekiti wa CUF, Prof. haruna Lipumba na Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharrif Hamadi...
Nyie wana JF endelezeni kwenu na sio kujichimbia Ulaya na Dar tu kwi kwi kwi!!!!
Waziri Mkuu ashawishi wazawa wa Rukwa kuwekeza kwao
Na Peter Edson
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amewataka...