Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
"Rais Jakaya Mrisho Kikwete (katikati) Mwenyekiti wa chama cha CUF, Profesa Ibrahim Lipumba (kushoto) na Katibu Mkuu wa CUF Seif Shariff Hamad wakitoka nje ya ukumbi wa Hoteli ya Lamada Dar es Salaam baada ya ibada ya dua ya kumuombea marehemu Mzee Shaaban Khamis Mloo ambaye ni mmoja wa waasisi wa CUF aliyefariki hivi karibuni. Rais Kikwete alialikwa kuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo.
Inasikitisha sana kuona wanapelekwa mapolisi kwenda kuuwa Zanzibar ,kwa kweli inasikitisha sana unapoona watu hawa wanakenua mpaka jino la mwisho ,mhusika Mkuu yupo kati kati ,Je huu uislamu wake hapa unajali maisha ya watu wanaopigwa na kudhalilishwa kule Zanzibar au sehemu nyingine yeyote ,wale wanaoouliwa na kupigwa na vyombo vilivyop chini yake wanaweza kuwa kama hao anaocheka nao na kufurahi nao ni wafuasi wa Chama pinzani sawa na wale wanaopigwa na kudhalilishwa na vyombo vilivyo chini yake, maisha ya hapa duniani ni ya kupita ,sioni sababu ya kutokuendesha uchaguzi ulio sawa na waki ,we need kuifanya Tanzania iwe yenye viongozi wanye nyuso za furaha kama hawa ,furaha hizi zienee hata kwa wafuasi wa vyama vyao ndipo tutaweza kuijenga Tanzania na kufikia lengo.
Siasa za mabavu na chuki hazileti faida ,viongozi hawa waliojaa furaha ni kitu gani au ujumbe gani wanawapelekea wananchi ?
Last edited: