Semilong
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 1,712
- 219
Hali ya kisiasa ya zanzibar ilivyo sasa hivi ni kama burundi au rwanda.
Zanzibar hakuna upinzani wa kisiasa bali kuna ukabila. Waunguja wanapigia kura ccm na wapemba cuf.
Kwa mantiki hiyo ninaamini kwamba endapo muungano utavunjika na ikarudi kuwa tanganyika na zanzibar, miezi mitatu ya mwanzo itakuwa ni furaha kwa wazanzibar kwa ajili wamekua na nchi yao wenyewe, halafu machafuko yataanza pale uchaguzi wa kumteua rais wa zanzibar utakapoanza. Wapemba watapigia kura cuf na waunguja ccm(asp) na hapo ndio zanzibar itakapopasuka na unguja kuwa nchi na pemba kuwa nchi na rais wake sshamad. Wapemba hatakubali rais awe muunguja kwa ajili imekua hivyo siku nyingi sana na waunguja wanaamini kwamba wapemba ni wabaguzi watawabagua sana.
mambo yote haya yatatokea katika kipindi cha mwaka mmoja.
fact: Uk kuna wazanzibari wengi lakini wamegawanyika katika makundi mawili wapemba na waunguja. Waunguja wapo karibu na watu wa bara na wapemba wako wenyewe. Pamoja na kuja ulaya bado wameshidwa kuwa ndugu. Kama wakikuyu na wajaluo uk
Athari za kuvunjika kwa muungano
1.wa bara waliokuwa zanzibar wataambiwa warudi kwao na wengine hata kupoteza maisha yao. (hawako wengi)
2. Wapemba ambao wanamaduka bara itabidi wayafunge na warudi kwao, sijui pemba ilivyokuwa ndogo watamuuzia nani vitu.
3.wazazibari wenye magorofa kariakoo itabidi wayaache na warudi kwao. Hata mzee mwinyi itabidi aondoke aliache lile gorofa lake msasani na white sands hotel.
4. Kwa sisi tuliooa zanzibar itabidi wake/waume zetu warudi zanzibar na watoto wabakie bara (kitu kibaya sana hichi).
5. Wakati mamboa yote haya ya kiendelea wananchi wakitaabika viongozi watakua wanagawana madaraka. Je wazanzibari mmefikiria au ni kufuata mkumbo wa viongozi
mkoa wa kinondoni una watu zaidi ya zanzibar nzima.
Solution: Kuwa na serikali moja rais mmoja na pemba na unguja kuwa mikoa yenye ma mayor ambao watapigiwa kura na wananchi.
Zanzibar hakuna upinzani wa kisiasa bali kuna ukabila. Waunguja wanapigia kura ccm na wapemba cuf.
Kwa mantiki hiyo ninaamini kwamba endapo muungano utavunjika na ikarudi kuwa tanganyika na zanzibar, miezi mitatu ya mwanzo itakuwa ni furaha kwa wazanzibar kwa ajili wamekua na nchi yao wenyewe, halafu machafuko yataanza pale uchaguzi wa kumteua rais wa zanzibar utakapoanza. Wapemba watapigia kura cuf na waunguja ccm(asp) na hapo ndio zanzibar itakapopasuka na unguja kuwa nchi na pemba kuwa nchi na rais wake sshamad. Wapemba hatakubali rais awe muunguja kwa ajili imekua hivyo siku nyingi sana na waunguja wanaamini kwamba wapemba ni wabaguzi watawabagua sana.
mambo yote haya yatatokea katika kipindi cha mwaka mmoja.
fact: Uk kuna wazanzibari wengi lakini wamegawanyika katika makundi mawili wapemba na waunguja. Waunguja wapo karibu na watu wa bara na wapemba wako wenyewe. Pamoja na kuja ulaya bado wameshidwa kuwa ndugu. Kama wakikuyu na wajaluo uk
Athari za kuvunjika kwa muungano
1.wa bara waliokuwa zanzibar wataambiwa warudi kwao na wengine hata kupoteza maisha yao. (hawako wengi)
2. Wapemba ambao wanamaduka bara itabidi wayafunge na warudi kwao, sijui pemba ilivyokuwa ndogo watamuuzia nani vitu.
3.wazazibari wenye magorofa kariakoo itabidi wayaache na warudi kwao. Hata mzee mwinyi itabidi aondoke aliache lile gorofa lake msasani na white sands hotel.
4. Kwa sisi tuliooa zanzibar itabidi wake/waume zetu warudi zanzibar na watoto wabakie bara (kitu kibaya sana hichi).
5. Wakati mamboa yote haya ya kiendelea wananchi wakitaabika viongozi watakua wanagawana madaraka. Je wazanzibari mmefikiria au ni kufuata mkumbo wa viongozi
mkoa wa kinondoni una watu zaidi ya zanzibar nzima.
Solution: Kuwa na serikali moja rais mmoja na pemba na unguja kuwa mikoa yenye ma mayor ambao watapigiwa kura na wananchi.