Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Jamani nimesoma gazeti moja jana likilalamika sana utoaji wa vyeo vya polisi/jeshini kutokana na hali ya hewa hivi sasa yawezekana vyeo vinatolewa kwa mtu wa darsa la saba...na wewe umengia na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hivi mke wa rais ana majukumu gani ktaifa?Mbona huyu wa sasa anafanya shughuli nyingi za kisiasa na mara nyingi husafiri on her own unlike her predecessors?
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Wana JF, Nilipenda kujua ile 2005 pale Chimwaga Dodoma wakati wa wajumbe wa CCM toka mikoa yote ya Tanzania kwenda kumchagua mgombea Urasi mmoja kwa tiketi ya CCM kulitokea nini? Dr. Salim...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
HATUA ya Rais Jakaya Kikwete kukiri kuwa kulikuwapo na udhaifu katika kufanya uchunguzi wa kutosha (due diligence) kuhusu kampuni tata ya kufua umeme ya Richmond, aliyoitoa wakati wa kujibu...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Jamani salaam tena na leo narudi kutaka kujifunza. Nimeona mjadala wa mgombea binafsi unapamba moto na nikaanza kujiuliza kama Mtikila ama Mzee Es anaweza naye kwenda kuomba kufata Wabunge wa...
0 Reactions
58 Replies
9K Views
Kwa mara ya kwanza ni ngependa kutoa ushauri kwa wale washauri wa Rais wetu. Nimetafakari kwa muda mrefu, Kutokana na misukosuko mingi iliyopo ndani ya nchi yetu kwa sasa,tukianzia katika swala...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
It is now obvious that the president wasn't ready for primetime. It is obvious that he is overwhelmed. It is obvious that he is discombobulated and doesn't know what to do. It is obvoius that he...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Na Julius Samwel Magodi INGAWA baadhi ya wanasiasa ndani ya CCM wanasema malumbano makali yanayoendelea katika chama hicho ni ya kukiimarisha; ukweli ni kwamba. sasa kinaelekea kufikia kwenye...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
CCM inahimiza mara kwa mara wapiga kura kuchagua Chama badala ya Mtu! Je, hoja hii wapendwa wanaJF mnaionaje? Japokuwa mtu hafungwi kuchagua chama fulani lakini mimi naona msisitizo huu wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Imeandikwa na Maulid Ahmed Tarehe: 9th November 2009 NAIBU Waziri wa Fedha na Uchumi, Omar Yussuf Mzee amesema,viongozi serikalini ni wabinafsi, wanajali maslahi yao kuliko ya taifa. Mzee pia...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
The so called "WAPIGANAJI" wana sema kuwa CCM wote ni MAFISADI je, huyu bwana mwenye uwanachama wa CCM tangu tarehe 18 Aprili,1977 na kadi Na. B124595, iliyotolewa na Tawi la Kisutu, Wilaya ya...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
RAIS Jakaya Kikwete, hivi karibuni, "alijianasua katika mtego" aliowekewa na baadhi ya viongozi wa jamii ya wafugaji wa Kimasai katika Bonde la Hifadhi ya Ngorongoro la kumtaka aruhusu...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
A malaise of despair, state of confusion, and just being downright overwhelmed...Is it just me or does everybody or most people feel this way? Viongozi wa serikali na chama tawala kulumbana na...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Five Tanzanians to study U.S. electoral process and observe 2009 U.S. election October 16, 2009 The U.S. Embassy is sending a group of Tanzanian political party officials and an academic to the...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa karibu miaka kadhaa sasa kuna mlolongo wa matukio ambayo yangetokea nchi nyingine yoyote yangetoa nafasi ya pekee kwa vyama vya upinzani. Mlolongo huo kwa Tanzania hata hivyo haujatoa nafasi...
0 Reactions
49 Replies
7K Views
*Inahusu zabuni ya kumpata bosi mpya NHC *Alipuuza mapendekezo ya Ernst & Young NA MWANDISHI WA RAIA MWEMA WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Kapteni (mstaafu), John...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
NINI MAONI YAKO? Moses Mashalla, Arusha JESHI la Polisi Mkoani Arusha limeendesha operesheni ya kukamata dawa za kulevya aina ya bangi wilayani Arumeru mkoani Arusha na kufanikiwa kukamata...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Rais Jakaya Kikwete, amepewa ushauri kupanga upya safu yake ya viongozi. Na Waandishi Wetu Mwananchi 11/9/2009 RAIS Jakaya Kikwete ametakiwa kutumia malumbano yanayoendelea baina ya wabunge...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hatimaye nimepata Takwimu mpya za Elimu kwa mwaka 2009. Haijawahi kutokea katika historia ya Tanzania wanafunzi kuingia Sekondari kwa wingi kama wakati wa kipindi cha Edward Lowassa. Historia...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Inasikitisha kwamba chama tawala kimejaa mafisadi....Nakubaliana na hoja zote za makombora waliorushiana wabunge wa CCM kwenye kikao cha mzee mwinyi...nimetafakari sana kuhusu uchafu huu. sasa...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…