Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wanandugu na wote wenye mapenzi mema....,kuna swali na jiuliza hivi hii kamupni ya NIC ilifikaje ikafilisika.....hivi majuzi NIC waliachisha wafanyakazi wote na kuwalipa na kuamua kuajiri...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tendwa: Serikali ya mseto yanukia ZanzibarNa Joyce Mmasi MSAJILI wa vyama vya siasa nchini, John Tendwa amesema hatua ya Chama Cha Wananchi (CUF) kuitambua serikali ya Rais wa Serikali ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Panic as cabinet shuffle looms By Guardian on sunday team 15th November 2009 As SFO sticks to its guns A stormy Cabinet meeting held in Dar es Salaam on Wednesday this...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
nawaomba sana tuungane na watanzania wote kuiomba serikali yetu ismamishe uchimbaji wa madini yetu mbalimbali na hasa dhahabu.
0 Reactions
0 Replies
587 Views
By Zephania Ubwani, Arusha How old is the vessel purchased by the East African Community three years ago for millions of dollars but has since docked at Mwanza port? This was the concern...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wenyeviti 11 wa mikoa wa CHADEMA wamepinga uamuzi wa Dr Slaa wa kutengua uteuzi wa David Kafulila. Kwa mujibu wa gazeti la Mwananchi la leo tarehe 14 Novemba, ambalo halijataza majina wala mikoa...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Kulikuwa na post humu jamvini ikimuonyesha Naomi Campbell alivyotokwa machozi baada ya kuona kina mama waliojifungua wamelala chini hospitalini. Kutokana na hiyo post niliandika kuwa viongozi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wameelimika na wanajua mengi. Tunawategemea, kuwathamini na tungependa kuwaenzi. Lakini kabla hatujaanza kuwaenzi, labda tujiulize, hivi wengi wao na kampuni zao na jumuiya zao mbalimbali kweli...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenye uhakika kampuni ya ndege ya precission air iko mbion kunyangwa ndege tatu ambazo walikuwa wakitumia...ndege hizo ambazo zimasimama kutumika zimefanya safari ya kigoma/tabora kusimama...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nimekutana na hili katika BBC. It is worth being posted. Chiluba trial 'cost Zambia $13m'...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hebu tuiangalie hii barua ya Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Afrika kwa JK kuhusu Loliondo. TUJADILI
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Balozi wa Tanzania nchini Urusi, Jaka Mwambi amelipwa Sh. 16,320,000 zikiwa pensheni kwa kutumikia CCM. I cant imagine Balozi wa USA hapa Tanzania,alipwe pensheni ya say Republican party kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mtanzania, Jumamosi Novemba 14, 2009 Aliyewakashifu Mkapa, Mwinyi adhaminiwa Na Evaline Shayo, TSJ MKAZI wa Arusha, Anney Anney, anayetuhumiwa kuwakashifu marais Ali Hassan Mwinyi na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kila mara inaonekana kana kwamba CHADEMA inakwenda kusambaratika, mara zote hizo ni bahati tu ya mtende inayokinusuru chama hicho kusambaratika. Ndani ya CHADEMA kuna mambo makubwa MATATU...
0 Reactions
72 Replies
6K Views
CHADEMA SIYO PANGO LA WANYANG'ANYI. CHADEMA siku zote huchukua hatua! Ilimsimamisha Chacha Wangwe alipokuwa akitumika, au kutumia vibaya madaraka yake kubomoa Chama akiwa ni Makamu Mwenyekiti -...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Katika mkutano huo natarajia kulieleza taifa mchakato wote wa makubaliano uliofanyika kati ya CUF na CCM... naomba Watanzania waje kwa wingi kuungana na wanafunzi hao na wabunge wa CUF kutoka...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
John Bwire Novemba 11, 2009 YANAYORIPOTIWA kusemwa kwenye kikao cha Kamati ya Wazee wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wabunge wa chama hicho mjini Dodoma yanadhihirisha kitu kimoja: Kwamba kweli...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mgogoro CCM aibu ya Taifa Lula wa Ndali-Mwananzela Novemba 11, 2009 WAPO wanaofurahia na kuchekelea mgogoro unaoendelea ndani ya CCM. Wapo ambao wanaombea kuwa mgogoro huo uendelee ili hatimaye...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tanzania hupata nafasi chache sana kuandikwa na gazeti hili la wiki. Wastani ni makala 1 kwa mwaka kuhusu Tanzania. Habari za Mkutano wa maalim Seif na Karume zimepata uzito katika The Economist...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Nimeshangazwa sana na picha na nimeachwa hoi bin taabani baada ya kusoam maelezo yanayohusu shule moja huko Mbeya, Wilaya ya Chunya, Kijijicha cha Udinde. Shule inaitwa Iboma. Hii ni kwa mujibu wa...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…