GY
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,279
- 126
Kumekuwepo na maoni tofauti sana kuhusu safari za nje ya nchi za maraisi wetu (wakati ule Mkapa na sasa Kikwete). Safari hizi zimekuwa zikisemwa kuwa ni muhimu kwani zina tija kwa Taifa. Nimekuwa nikifuatilia kama viongozi wa nchi nyingi Afrika, na hasa ukanda huu wa afrika mashariki pia hufanya safari nyingi namna hii ili kuleta tija nchini mwao. Mfano mzuri unaweza kuwa kwa raisi Kibaki. Hali inaonekana ni tofauti
Je tukitengeneza equation
Ni uhusiano gani uliopo kati ya safari za kiongozi wa nchi maskini nje ya nchi na tija kwa taifa lake
Nini lingekuwa jibu lako
Na ni nani ana data, ni kiasi gani hugharimu kwa raisi kwenda nje kwa safari ya wastani wa siku tano
Je tukitengeneza equation
Ni uhusiano gani uliopo kati ya safari za kiongozi wa nchi maskini nje ya nchi na tija kwa taifa lake
Nini lingekuwa jibu lako
Na ni nani ana data, ni kiasi gani hugharimu kwa raisi kwenda nje kwa safari ya wastani wa siku tano