William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- According to the dataz, kelele za Dr. Salim hivi karibuni hazikuwa za bure, behind it kuna mkakati wa siri unaosukwa na baadhi ya vigogo wa CCM na serikali kumpa u-Rais wa Zanzibar, na the thinking behind it ni kwamba itakuwa ndio dawa ya tatizo la CCM na Pemba, kama sio Muungano in general!
- The more dataz ni kwamba Muungwana, is still toying with the idea ingawa hajaji-commit kwa 100%, lakini juhudi kubwa zinafanywa na vigogo hawa wa CCM na serikali kumshawishi Amani Karume, ajiunge na the idea na kwamba once he is on board atatangaza rasmi to the public kwamba baba yake hakuwa na tatizo na Salim, at anytime na si kweli kwamba Salim alihusika in anyway or form na mauaji ya baba yake.
- According to the dataz, tatizo moja linasimama to this idea nalo ni Ali Karume, anyways wakuu JF mnaionaje hii?
Respect.
Field Marshall Es = Wazee Wa Sauti Ya Umeme!
- The more dataz ni kwamba Muungwana, is still toying with the idea ingawa hajaji-commit kwa 100%, lakini juhudi kubwa zinafanywa na vigogo hawa wa CCM na serikali kumshawishi Amani Karume, ajiunge na the idea na kwamba once he is on board atatangaza rasmi to the public kwamba baba yake hakuwa na tatizo na Salim, at anytime na si kweli kwamba Salim alihusika in anyway or form na mauaji ya baba yake.
- According to the dataz, tatizo moja linasimama to this idea nalo ni Ali Karume, anyways wakuu JF mnaionaje hii?
Respect.
Field Marshall Es = Wazee Wa Sauti Ya Umeme!