Ni kutoka Italia alikokuwa balozi
Nyerere alishangaa na kuhoji ni balozi wa aina gani huyo? Akatolewa Italia na kupelekwa Sumbawanga, Rukwa
Mwandishi wetu, Godfrey Dilunga, wiki iliyopita...
Kuna habari kuwa anaweza kufa eidha leo au Jumapili
Mwananyamala Hosp mtamuua mama huyu!
Imeelezwa kuwa hali ya mwanamke mjamzito ambaye kiumbe chake kimefia tumboni tangu wiki iliyopita...
wanandugu tumekuwa tukiangalia upande mmoja kwa mafisadi lakini lazima tuangalie uhalisia...j kwa nchii jinsi ilivyo kwa nini usiibe..personal sijaona maisha yanayoni atract kuishi bila...
Lile wimbi la Wanachama wa chadema Kuhama chama hicho limeendelea leo baada ya Mwanachama mwingine wa Chama cha Democrasia na maendeleo Juju Martin ambaye alivuliwa nyadhfa pamoja na David...
Rais Mstafu Benjamin Mkapa
Na Salim Bimani
Viongozi wa imani ya Kikristo wanastahiki kusifiwa kwa kuzitumia sikukuu na mikusanyiko yao ya kidini kuzungumzia sio tu Uokovu, Uzima wa Milele na...
Chuo Kikuu Makerere kumuenzi Mkapa kama kiongozi boraNa Leon Bahati
"NABII hakubaliki nyumbani kwake". Ndivyo inavyojionyesha kwa rais wa serikali ya awamu ya tatu, Benjamin Mkapa ambaye leo...
Wakati hayo yametokea Uganda, Tumeyaona Kenya na Tanzania Pia.Nini hatima ya mjadala wa ARDHI kwa Wananchi wa Jumuiya ya Afrika mashariki?
Land battle looms in Uganda...
Wadau.. Rwanda inakaribia kujiunga na Jumuiya ya Madola iwapo uamuzi wa kikao cha wakuu wa nchi za jumuiya ya madola kinachofanyika Trinidad & Tobago kitaridhia uanachama wake.
Hisia za utawala...
Wakuu,
Naombeni msaada kwani hli limekuwa likinitatiza. Nimeona watu wakipigania sana kuwa wenyeviti wa bodi mbalimbali hasa za mashirika ya umma.Na hivi karibuni nimesikia watu wakishauri...
Kikwete akerwa mapinduzi ya kijeshi Afrika
Na Mwandishi maalum NIPASHE
27th November 2009
Rais Jakaya Kikwete, ameutaka Umoja wa Mataifa (UN) na jumuia ya kimataifa...
Tanesco yapinga kuvunja mkataba wa bimaNa Claud Mshana
SHIRIKA la Umeme (Tanesco) limefungua kesi Mahakama Kuu kupinga uamuzi uliotolewa na Mamlaka ya Rufaa ya Manunuzi ya Umma (PPAA) kuitaka...
Source: Nipashe 27 November 2009 na mwandishi maalumu:
"Gavana Mkuu huyo alisema Jamaica imeamua kutoa nishani hiyo kwa kutambua uongozi imara na uliotukuka wa Rais Kikwete katika nyanja na...
2009-11-27 08:52:00
Tax waivers set to eat up Sh3 trillion
Finance minister Mustafa MkuloThe sum is almost a third of the Sh9.5 trillion national Budget
By Damas Kanyabwoya
THE CITIZEN...
Kinachoviponza vyama vya upinzani katika chaguzi
Selemani Rehani
Raia Mwema
Novemba 25, 2009
MWAKA 1992 tuliamua kurejea katika mfumo wa vyama vingi vya siasa. Ni miaka 17 sasa toka tuingie...
Ni kama triad vile na inaonekana wananchi pamoja na members wengi humu mmekuwa duped kuwa watu hawaelewani kumbe usiku wana strategise
je mnaweza kuwataja?
clue: Yupi 'mpiganaji' mmoja
Kwa wale wenye kutarajia kuwa VIONGOZI, kugombea Ubunge, Udiwani, Urais na hata katika ngazi ya familia nyumbani.
Ushauri wa bure huu hapa chini ktk attachment.
Mbarikiwe sana na Amani iwe nanyi
kila mara humu tukijadili habari za namna viongozi wanavyochaguliwa
hasa ndani ya cmm,kuna kitu kimoja ambacho hatukijadili kwa mapana.
nacho ni huu utaratibu usioandikwa popote lakini
ni sehemu...
hii tabia ya watanzania kuwa wanyonge mbele ya viongozi wabovu
huwa inanikera sana....
lakini siku hizi nimekuwa napata habari inayonifurahisha sana..
nayo ni hii ya kuwazomea wabunge wa ccm...
UWT zibeni mpasuko wenu, malumbano hayana tija
LISEMWALO lipo na kama halipo linakuja. Hivi karibuni, Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) umekuwa gumzo kutokana na...
Serikali yetu ni inashangaza. Jana TBC1 imeripoti kuwa mkuu wa wilaya huko Kilombero anasimamia mchakato wa kutaka kuhamisha wanakijji wa kijiji cha Namawala huko Kilombero kinyume na matakwa yao...