Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
Wakuu,
Naombeni msaada kwani hli limekuwa likinitatiza. Nimeona watu wakipigania sana kuwa wenyeviti wa bodi mbalimbali hasa za mashirika ya umma.Na hivi karibuni nimesikia watu wakishauri wabunge wasiwe wenyeviti za bodi za mashrika ya umma kwani kutakuwa na mngongano wa kimaslahi.Tfadhali nisaidieni kuna priveledge gani ya kuwa mwenyekiti?
Nisadieni jamani,ni muhimu.
Naombeni msaada kwani hli limekuwa likinitatiza. Nimeona watu wakipigania sana kuwa wenyeviti wa bodi mbalimbali hasa za mashirika ya umma.Na hivi karibuni nimesikia watu wakishauri wabunge wasiwe wenyeviti za bodi za mashrika ya umma kwani kutakuwa na mngongano wa kimaslahi.Tfadhali nisaidieni kuna priveledge gani ya kuwa mwenyekiti?
Nisadieni jamani,ni muhimu.