The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,874
hii tabia ya watanzania kuwa wanyonge mbele ya viongozi wabovu
huwa inanikera sana....
lakini siku hizi nimekuwa napata habari inayonifurahisha sana..
nayo ni hii ya kuwazomea wabunge wa ccm...
mwanzo nilisikia ngasongwa amezomewa nikasikiA raha sana.
baadae mkuchika nae akazomewa..
na sasa juzi ni kimaro...
laiti kama nguvu ya kuwazomea ingeahamia kwenye
kutowapigia kura ingekuwa raha saana.
but anyway huwa nasikia burudani ya ajabu nikipata habari
za kuzomewa kwa wabunge wa ccm....
sijui nyinyi wenzangu but mimi huwa nakuwa na furaha mno na
habari hizo....
if only.......
huwa inanikera sana....
lakini siku hizi nimekuwa napata habari inayonifurahisha sana..
nayo ni hii ya kuwazomea wabunge wa ccm...
mwanzo nilisikia ngasongwa amezomewa nikasikiA raha sana.
baadae mkuchika nae akazomewa..
na sasa juzi ni kimaro...
laiti kama nguvu ya kuwazomea ingeahamia kwenye
kutowapigia kura ingekuwa raha saana.
but anyway huwa nasikia burudani ya ajabu nikipata habari
za kuzomewa kwa wabunge wa ccm....
sijui nyinyi wenzangu but mimi huwa nakuwa na furaha mno na
habari hizo....
if only.......