Makongoro apata mpinzani Ukonga

Mayolela

JF-Expert Member
Sep 21, 2009
384
6
KIjana mchapakazi J.Jambele amaetangaza rasmi kuwania kiti cha ubunge jimbo la Ukonga kwa tiketi ya CCM.anamini katika siasa ya Ujamaa na kujitegemea na sio ubinafsi.
Kipeekee namfahamu kijana huyu kama mpiganaji makini sana katika nyanja mbalimbali yupo kwenye mpira,muziki nk.
Hima wana jimbo la Ukonga tusimuangushe kijana huyu,kwani kila mwanachana ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa.
Jimbo la Ukonga limekuwa nyuma sana kimaendeleo kulinganisha na majimbo yote hapa Dar.Sababu kubwa ni ubinafsi wa mh huyu.ambae ni mpenda starehe sana kila mara anaonekana pale Rufita club segerea tena usiku mbaya sana,akiwa na vidosho.Sidahi kama anatufaa kuongoza tena.
mdau. buguruni ghana.(ambako ujafika toka tukupe ubunge).
 
KIjana mchapakazi J.Jambele amaetangaza rasmi kuwania kiti cha ubunge jimbo la Ukonga kwa tiketi ya CCM.anamini katika siasa ya Ujamaa na kujitegemea na sio ubinafsi.
Kipeekee namfahamu kijana huyu kama mpiganaji makini sana katika nyanja mbalimbali yupo kwenye mpira,muziki nk.
Hima wana jimbo la Ukonga tusimuangushe kijana huyu,kwani kila mwanachana ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa.
Jimbo la Ukonga limekuwa nyuma sana kimaendeleo kulinganisha na majimbo yote hapa Dar.Sababu kubwa ni ubinafsi wa mh huyu.ambae ni mpenda starehe sana kila mara anaonekana pale Rufita club segerea tena usiku mbaya sana,akiwa na vidosho.Sidahi kama anatufaa kuongoza tena.
mdau. buguruni ghana.(ambako ujafika toka tukupe ubunge).

Hizi ndio criteria mnazoweka za kupata mwakilishi ? lolz..ndo maana umaskini unatung'ang'ania.
 
KIjana mchapakazi J.Jambele amaetangaza rasmi kuwania kiti cha ubunge jimbo la Ukonga kwa tiketi ya CCM.anamini katika siasa ya Ujamaa na kujitegemea na sio ubinafsi.
Kipeekee namfahamu kijana huyu kama mpiganaji makini sana katika nyanja mbalimbali yupo kwenye mpira,muziki nk.
Hima wana jimbo la Ukonga tusimuangushe kijana huyu,kwani kila mwanachana ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa.

Jimbo la Ukonga limekuwa nyuma sana kimaendeleo kulinganisha na majimbo yote hapa Dar.Sababu kubwa ni ubinafsi wa mh huyu.ambae ni mpenda starehe sana kila mara anaonekana pale Rufita club segerea tena usiku mbaya sana,akiwa na vidosho.Sidahi kama anatufaa kuongoza tena.
mdau. buguruni ghana.(ambako ujafika toka tukupe ubunge).

HIzo ndio sifa za potential leaders... muziki. mpira etc. and then we expect kuondokana na ujinga, maradhi na umaskini!!!
 
Kuna mtu aliwahi kuleta post humu kwamba John Mashaka naye atawania Ukonga, sasa sielewi iliishia vipi ile. Hao wote ni wa chama kimoja, ningependa nione na wa vyama vingine nao wanajinadi mapema kuongeza changamoto. Anyway, tusubiri kitakachofuata, ila mimi nilishasema msinisahau kwenye kampeni, nipo kwenye jimbo hilo pia na nitaangalia mgombea kwanza then chama chake!
 
Nimeipenda hiyo'kwa tiketi ya CCM..'.Well,anaweza akawa mpiganaji mpambanaji whatever.Ila ndani ya hicho chama kweli ataweza kuleta mabadiliko ni/tunayoyataka??NEC ni ileile,CC ni ileile so yeye atakuwa jus a cog in a big machine.Wenye tuhuma za wazi za ufisadi wamejaa huko,nae anaenda hukohuko...Wengine watauliza,sasa ajiunge chama gani??Such a shortsighted qn!!Y keep on thinking about something readymade?Kama vilivyopo ni vibovu basi watoke huko na kuanzisha chao,maana kuwafukuza mafisadi wameshindwa hata la kujiengua nalo limekuwa gumu hivyo??Mimi siamini,wanajua kuna maslahi fulani ukiwa chini ya mwamvuli wa chama cha kijani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom