KIjana mchapakazi J.Jambele amaetangaza rasmi kuwania kiti cha ubunge jimbo la Ukonga kwa tiketi ya CCM.anamini katika siasa ya Ujamaa na kujitegemea na sio ubinafsi.
Kipeekee namfahamu kijana huyu kama mpiganaji makini sana katika nyanja mbalimbali yupo kwenye mpira,muziki nk.
Hima wana jimbo la Ukonga tusimuangushe kijana huyu,kwani kila mwanachana ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa.
Jimbo la Ukonga limekuwa nyuma sana kimaendeleo kulinganisha na majimbo yote hapa Dar.Sababu kubwa ni ubinafsi wa mh huyu.ambae ni mpenda starehe sana kila mara anaonekana pale Rufita club segerea tena usiku mbaya sana,akiwa na vidosho.Sidahi kama anatufaa kuongoza tena.
mdau. buguruni ghana.(ambako ujafika toka tukupe ubunge).
Kipeekee namfahamu kijana huyu kama mpiganaji makini sana katika nyanja mbalimbali yupo kwenye mpira,muziki nk.
Hima wana jimbo la Ukonga tusimuangushe kijana huyu,kwani kila mwanachana ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa.
Jimbo la Ukonga limekuwa nyuma sana kimaendeleo kulinganisha na majimbo yote hapa Dar.Sababu kubwa ni ubinafsi wa mh huyu.ambae ni mpenda starehe sana kila mara anaonekana pale Rufita club segerea tena usiku mbaya sana,akiwa na vidosho.Sidahi kama anatufaa kuongoza tena.
mdau. buguruni ghana.(ambako ujafika toka tukupe ubunge).