MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Kwa kawaida serikali yoyote ikifanya kitu kinacho gharimu pesa nyingi huwa kuna updates ya pesa zime tumika vipi na maendeleo ya huo mpango upoje. Sasa tokea serikali yetu itoe "stimulus package" sija sikia tena chochote kuhusu hilo swala. Sija sikia hizo pesa zime tumika vipi na kama nia ya hizo pesa inaelekea kutimizwa au la. Jamani kuna mtu anaye jua chochote kuhusu "stimulus package" yetu? Je pesa hizo zime saidia? Zime fikia walengwa? Zina tumikaje?