Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
CCM inahimiza mara kwa mara wapiga kura kuchagua Chama badala ya Mtu! Je, hoja hii wapendwa wanaJF mnaionaje? Japokuwa mtu hafungwi kuchagua chama fulani lakini mimi naona msisitizo huu wa kuchagua Chama umefikia mahali pa watu kusema kwamba Chama fulani hata kikiweka jiwe litachaguliwa tu, hii ni hatari kwa mustakabali wa nchi yetu! Pia naona kwamba ugombea binafsi uruhusiwe (of course niko aware na rufaa ya Serikali dhidi ya hukumu ya mahakama Kuu juu ya suala la mgombea binafsi)! Tujadili!