John Mnyika
JF-Expert Member
- Jun 16, 2006
- 712
- 1,240
Serikali ieleze kwa Umma hatua zilizofikiwa na Tanzania kuhusu maandalizi kuelekea soko la pamoja la Afrika Mashariki
- Wabunge waihoji Serikali kuhusu mchakato huo katika mkutano wa Bunge unaoanza
- Ikulu itoe tamko kuhusu sababu ya Rais Kikwete kutozungumzia kuwaandaa watanzania kwa soko la pamoja la Afrika ya Mashariki
- Rais Kikwete aelekeze Wizara ya Afrika ya Mashariki kuelimisha umma kwa haraka
- Wizara zifafanue Bungeni athari, maslahi ya Tanzania na manufaa ya soko la pamoja kwa watanzania.
JJ