Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mimi nimekuwa nikijiuliza sana kuhusu hii dhana ya Baba wa Taifa na hasa kwa nchi yetu ya Tanzania. Ninavyofahamu mimi mtu anayepewa heshima ya kuwa Baba wa Taifa ni yule muasisi wa mwanzo ambaye...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Moja ya sera rasmi mpya za Chadema zilizotangazwa hivi karibuni ni kutohamishia makao makuu ya mji mkuu wa kiserikali na kibiashara kutoka Dar es salaam kwenda Dodoma hayo yalisemwa jana jijini...
0 Reactions
36 Replies
5K Views
Nimepata taarifa kwamba huko Kyela baada ya ndg Mwanjala kutangaza kugombea ubunge akipambana na Dkt Mwakyembe, hali si shwari kwa upande wa Kambi ya Dkt Mwakyembe hasa kwa upande wa vijana...
0 Reactions
55 Replies
7K Views
I think its about time tukaamua kama chombo kwenye uchaguzi wa 2010 tunasupport Vijana au wazeee by Vijana simaanishi akina calibr ya akina Lawrence Masha (alishapata nafasi na alishindwa na si...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Nimekutana nayo hii huko KwanzaJamii.Mwandishi ni Profesa Joseph Mbele Mwenyekiti Hoja zangu zitaingiaje vichwani mwa watu wenye akili finyu, wasiojiamini, ambao hata kujitambulisha...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
:confused:Kutokana na agizo la rais tutegemee hili kabla ya kutoka madarakani:confused:
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tunaposema viongozi wengi wa CCM wamechoka kuongoza si kwamba tuna chuki binafsi hebu angalia kauli hizi za viongozi wake "Jamani jitahidini hata watu waone malori ya mchanga yanaenda pale ili...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau naombeni kupata fafanuzi wa huu muswada ulopitishwa hivi karibuni. Ndani ya muswada huu kuna kipengele kinasema kwamba;Mtu yeyote ataketumia line ya simu ambayo haijasajiliwa baada ya muda...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
■ In Dar es Salaam, Chief Justice cautions deputy AG that as it stands now, independent candidates are allowed as govt seeks 4-month hearing extension ■ In Dodoma, Speaker sends...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tanesco shelves plans to sell houses By Ani Jozen 8th February 2010 CAG report backs MP`s fund misuse allegations Tanesco Headquarters Plans to sell seven staff houses...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kampeni - Kombe la Dunia Lipandishwe Mlima Kilimanjaro Wana JF wenzangu, Wasalaaam. Naona kuna umuhimu wa serikali yetu kutoa ofa ya mshindi wa kombe la dunia 2010 huko afrika ya kusini...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Yes we can! Yes we can host Africa Cup Nation soccer tounement! Mwanza, Zanzibar, Mbeya and Dodoma should be the host cities and final in Dar! The return will be the robust promotion of...
0 Reactions
46 Replies
5K Views
Sielewi mantiki ya wabunge kupinga maneno niliyokoleza wino mwekundu...anayeeelewa anifahamishe! Election Bill tossed back to Parliamentary Commitee for further discussion THE Election Expenses...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
...As Tanzania gets a refund of $28m (Sh37.8billion) Former president Benjamin Mkapa In the wake of British Aerospace Engineering System's agreement on Friday to pay back $400million...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Nilipokuwa mtoto tulikuwa tukihimizwa kwamba malaria yanayotokana na mazalia na mbu toka kwenye maji yaliyotuama. Wakati huo tulihimizwa kwamba tusafishe mazingira kuhakikisha hakuna maji...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau natazama luninga muda huu kikao cha Bunge kinaendelea!!!Inasikitisha kuona jinsi mjengoni kulivyo kutupu!!Watu hawa wana sababu gani kukaa huku wakijua kuwa wanachukua...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ninavyoelewa mimi ni kwamba Rai/Mtanzania ni gazeti la mafisadi ambao wanataka kuhalalisha kuwa kwao na MALI nyingi kwa kushika nyadhifa za juu pia za kisiasa nchini. Wakati CJJ nimeambiwa ni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
RAIS Jakaya Kikwete ameiagiza Wizara ya Miundombinu pamoja na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), kukamilisha ujenzi wa miundombinu ya njia ya Reli ya Kati kwa kipindi cha muda mfupi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Katika kile kinachoonekana kuchafuka kwa hali ya hewa mkoani Tabora, jana jioni kwenye kikao cha wazee, mkiti wa ccm mkoa wa Tabora Hasan wakasuvi alimpigia debe la wazi Ndg Lucas selelii bila...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Outdated law denies Tanzania billions of shillings annually By Polycarp Machira 7th February 2010 Foreign Affairs and International Co-operation minister, Bernard Membe While...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom