Kama ambavyo imefanyika kwa ugonjwa wa Malaria siku ya Jumamosi (13/02/2010), tunaomba na kupendekeza pia matatizo haya makubwa katika taifa letu nayo yatanganzwe rasmi kama majanga ya kitaifa:-...
Wakuu,
Nasikitika kuwatangazia kuwa tunahamisha data kutoka Center moja kwenda nyingine. Hii itasababisha nameservers kubadilishwa na hivyo kwa wale ambao wanaitembelea JF mara kwa mara huenda...
Mara kwa mara watawala wamekuwa wakituasa kuwa tofauti zetu zisisababishe mgawanyiko katika jamii na kuwa ni muhimu kuendeleza "umoja, utulivu na mshikamano".
Mimi nimeamua kukataa kuwa na umoja...
Rais Jakaya Kikwete jana wakati 'anakamata' Fanta yake wakati wa kuwapongeza wabunge waliopitisha hoja aliyoiita muhimu kwa uchaguzi wa demokrasia, aliwaponda na kuwaruka watu wanaojipitisha...
Ningependa kujua utaratibu wa uuzaji wa viwanja kupitia vijiji.
Unafanywa vipi?ni jinsi gani ya kuhakiki Mwenye kiti wa vijiji?
Na ni njia zipi sahihi?kusije kukawa na watu wanafanya utapeli!
We are expecting to deliver the next round of our contributions to the Tanzanian Red Cross Society sometime tomorrow as our Donations Campaign is winding down. We continue to be of immense...
Salaam,
Kwanza naomba niwatulize mioyo wale ambao kwa namna moja au nyingine wanajisikia kukwazika na kile kilichoendelea Bungeni leo hii na hasa suala la Richmond. Ninafahamu watu wengi...
Kauli ya CCM Kuhusu Kuanzishwa kwa Chama Kipya cha Upinzani CCJ
Hivi karibuni vyombo vya habari vimekuwa vinaandika sana habari za kuanzishwa kwa Chama kipya cha upinzani kiitwacho Chama cha...
Baada ya kutafakari sana, nimepata sababu 51 za kwanini Rais Jakaya Mrisho Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama chetu Cha Mapinduzi aamue kutoshiriki kinyang'anyiro cha uchaguzi mkuu mwakani...
Maelezo haya hapa chini yanayohusu Taarifa ya Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini imenisikitisha sana kwa jinsi Kamati hiyo ilivyotishiwa nyau na mambo ya "Posho Mbili kwa kazi...
Jamani tuache utani, watanzania ni watu "wazuri" na nchi yao pia ni nzuri sana! Kwa nini?
1. Mbunge akiona hajafanya chochote ndani ya kipindi cha miaka 4 anarudi mwaka wa tano na kuwaahidi...
Kuteuliwa kwa wabunge hawa:
1) Jussa -- Mkurugenzi wa Mambo ya Nje wa CUF.
2) Janet Mbene -- Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Masaki kwa tiketi ya CCM,
Kuna maswali ya kujiuliza.
i) JK katoa...
Wakuu,
Natumaini wote tumesikia kuwa Serikali itatumia jumla ya shilingi bilioni 200 kwa ajili ya Vitambulisho. Haya yanafanyika wakati karibu watoto milioni 4 wa shule zetu za msingi wanakaa...
Wana JF nimesikia kupitia radio KASIBANTE (iliyoko Bukoba) ya huyu Bwana "live" wakati akiwahutubia watu waliokusanyika katika kufunga wiki ya shehere za miaka 33 ya CCM. Yafuatayo ni baadhi ya...
As received:
MKUTANO WA HADHARA
MAALIM SEIF SHARIF KUNGURUMA LONDON
Jumuiya ya wazanzibari UK (ZAWA) inafuraha kuwaalika mkutano wa hadhara utakaohutubiwa na Katibu Mkuu CUF-Taifa Maalim SEIF...
Hali sintofahamu, imeendelea kuvigubika vikao vya Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya CCM, ambavyo vimekuwa vikiahirishwa, na kuahirishwa na sasa kuahirishwa tena na tena!.
Vikao hivyo ambavyo CC...
Habari nilizozipata ni kuwa Baraza La Vijana CHADEMA(BAVICHA) limetangaza uchaguzi wa ngazi ya taifa ambao ulifanyika mwezi agosti lakini ukafutwa..Habari zilizonifikia ni kuwa zoezi la kuchukua...
Kwa Muda mrefu nimekuwa nikisikia mbiu hii kwamba ''CCM NI NAMBARI ONE''.
Yaani CCM NI NAMBA MOJA.
Baada ya kufikiri sana, nimegundua kuwa sijui maana ya SLOGAN hii.
Naamini hapa jamvini...
Tumekuwa na mijadala mingi sana kuhusu viongozi wetu, wanavyoenenda na wanavyoongoza taifa letu na hata asasi mbalimbali katika jamii. Ninachojiuliza je wanajua hata maana ya kuwa kiongozi?? Kwani...
Kisa cha Gavana Ndullu na Lazaro maskini
M. M. Mwanakijiji
KATIKA vichwa vyetu kuna matatizo. Matatizo makubwa kiasi kwamba hatuoni ubaya na makosa ya kukubali ujenzi wa nyumba mbili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.