Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 637
😕Kutokana na agizo la rais tutegemee hili kabla ya kutoka madarakani😕
You are so funny guy! Hivi ulikuwa wapi mwaka 2005 ambapo Rais akisaidiana na akina Adam Kimbisa waliweka ahadi kemkem za kumaliza tatizo la foleni Dar es salaam kwa kuleta mabasi yaendayo kasi plus kupanua barabara ikiwemo kujenga hizo fly over?😕Kutokana na agizo la rais tutegemee hili kabla ya kutoka madarakani😕