Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Date::3/19/2010: Mwananchi Marekani yashupalia vita dhidi ya rushwa Na Boniface Meena SERIKALI bado inalegalega katika mapambano dhidi ya rushwa hali ambayo imechagia baadhi ya viongozi wa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Rais Kikwete anatarajiwa kutia sahihi muswada wa sheria ya Gharama za Uchaguzi "kwa mbwembwe" kama alivyoahidi. Naomba nitofautiane kwa heshima na taadhima na wale wote wenye kuikubali sheria hii...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Achunguzwa kutumia madaraka vibaya kama Yona Maswahiba zake wahaha kumuengua kashfa ya rada WAKATI kukiwa na mkakati wa kumnasua Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge katika kashfa...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Moja ya maeneo ya kupata elimu ni humu ndani ya JF.Na kwa kuwa elimu huombwa mimi nawaomba watu wanaojua masuala ya siasa na hata wanasiasa wenyewe wanieleze baada ya kutiwa saini kwa sheria ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kuna reshuffle ya mabalozi. Balozi Mwanaidi Maajar kuhamishiwa Washington, Kuchukua nafasi ya Balozi Sefue. More to come
0 Reactions
93 Replies
14K Views
RAIS Jakaya Kikwete amesaini Sheria ya Gharama za Uchaguzi ya Mwaka 2010 katika Viwanja vya Ikulu, Dar es Salaam, katika moja ya matukio ya nadra kwa mkuu wa nchi kusaini sheria kwa mbwembwe...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KUNUNUA HISA ZA RITES, KUITAFUTIA MBIA MWINGINE Waandishi Wetu SERIKALI itachukua hisa zake kutoka kwa mbia wake kwenye kampuni ya TRL, kwa lengo la kuzinunua hisa 51 za RITES katika...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
14th March 2010 Email Print Comments In the wake of British Aerospace Engineering System’s agreement recently to pay $400million(Sh540billion) in fines after admitting that its arms deals...
0 Reactions
71 Replies
7K Views
Hakuna kitu kinachoniumiza katika maisha yetu ya kila siku katika nchi yetu tukufu ya Tanzania kama maisha duni waliyonayo Watanzania. Bahati mbaya sana, kila kunapokucha ni heri ya jana- hali ya...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Didn't hear about it in history and Siasa classes: People's Republic of Pemba. Wikipedia states as follows: "18 January 1964: Pemba People's Republic proclaims independence from Zanzibar and...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
NINAWASHANGAA wanaojiandaa eti kwenda kupiga kura ya Urais, yaani, rais wa nchi awe nani (siku zote aliye mbali na wao na hajui kinachowazunguka na kuendelea katika mkoa wao mpaka adanganywe na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
THE Ministry of Lands, Housing and Human Settlements Development has declared the Masaki 1832 disputed plot an open space, it has been learnt. The Ministry will tomorrow hold a meeting with the...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Kuna sababu nyingi naona ni heri serikali ya chama cha mapinduzi kuliko serikali ya chama chochote cha upinzani tulionao. Hii ni kwa sababu hata kama CCM kime tupa baadhi ya sababu ya kuto...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
I know people have wanted to read it and see what actually is in it. Ni kwa kiasi gani sheria hii: a. Itachochea demokrasia au kuidumaza b. Itafanya kazi vipi wakati wa wagombea binafsi (je...
0 Reactions
102 Replies
8K Views
*ASEMA MFUMO WA UCHAGUZI NCHINI UNACHOCHEA UFISADI Na Ramadhan Semtawa MWANASHERIA Mkuu mstaafu wa Serikali Jaji Mark Bomani, ameandika waraka mzito kwenda CCM na serikali yake, ambao pamoja...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Where are our revolutionary soldiers to shake off the leaves? Who are our visionaries who re daring to shake off some branches? Which masses will be on front line to shake off the authorities...
0 Reactions
52 Replies
4K Views
Unaweza muona shujaa wetu katikati. Kweli, ushindi huu ni mwanzo wa mapambano dhidi ya wezi wa haki.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Joseph Mihangwa MIAKA 46 tangu meli ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ing'oe nanga, Aprili 26, 1964 hadi sasa; bado inaendelea kuyumba kwa kusukwasukwa na mawimbi makali na kusababisha adha...
0 Reactions
44 Replies
5K Views
BBC: A Zambian priest who is leading a campaign to force the government to resign has been freed on bail after spending three nights in jail. Father Frank Bwalya denies charges of breaching...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
leo hii ni kawaida kusikia wanawake wakipewa upendeleo maalumu katika vyeo vya kisiasa eti kwa minajili ya kuwa na usawa wa kijinsia katika uwakilishi,cha kujiuliza je hii ni njia sahihi ya kuwa...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Back
Top Bottom