mchakamchaka
Member
- Feb 25, 2010
- 6
- 2
leo hii ni kawaida kusikia wanawake wakipewa upendeleo maalumu katika vyeo vya kisiasa eti kwa minajili ya kuwa na usawa wa kijinsia katika uwakilishi,cha kujiuliza je hii ni njia sahihi ya kuwa na usawa wa kijinsia ktk uwakilishi?binafsi siamini kabisa katika mawazo haya, huwezi kumpa nguvu mtu ambaye kifikra tu tayari anajiona mwenyewe hana nguvu, kwa kufanya hivi mi naamini tunazidi kuwadhoofisha kwani hawatakaa hata siku moja waamini wanaweza kusimama wenyewe mbele ya wanaume.jana india wamepitisha mswada wa kuwapa wanawake uwakilishi wa theluthi nzima katika bunge lao la congress...mnaonaje hili wanaforum wenzangu?