.
Unaweza muona shujaa wetu katikati. Kweli, ushindi huu ni mwanzo wa mapambano dhidi ya wezi wa haki.
.
Asiye shujaa jimboni kwake ni yupi?
Kumbukumbu zinaonyesha kuwa Edward Lowassa naye alipokelewa hivyo hivyo.Mzee wa Vicent naye alikuwa shujaa ki noma.
Unaweza muona shujaa wetu katikati. Kweli, ushindi huu ni mwanzo wa mapambano dhidi ya wezi wa haki.
Haya maneno yanafaa sana wakati wa kampeni utakapofika uvae magwanda upande kwenye jukwaa uwaeleze wapiga kura wa Simanjiro hakuna haja ya sisi kututaka tuende huko tutaenda majimbo mangapiIt is high time now we stop judging the book with its cover.
Huyu mtu, Ole Sendeka, hata kwao hakubaliki, this is the fact, ambaye hakubaliani nami aende Simanjiro anatokea kata ya NABERERA, familia yao pamoja na yeye wameharibu eneo hili mpaka anaingia usiku sana na kuondoka alfajiri sana na eneo hili ndilo ambalo mdogo wake wa kuzaliwa ni Diwani nae hatakiwi kwasababu ya unyanyasaji. Sherehe za mapokezi zilifanyika ORKESMETI eneo la mbali kabisa na kwao,kila mwenye akili timamu anajua jamii ile ilikusanyika kwasababu tu zilichinjwa Ng'ombe KUMI na Mbuzi wengi.
This is what I call CHEAP politics, maisha yake ya kisiasa anayaendesha kwa huruma za wananchi bila ya kufanya lolote la msingi kwa jamii anayotokea. Anajipambanua kama mpiganaji wa Ufisadi lakini hili lina msaidia vipi kijana wa kimasai pale Naberera ilhali anazidi kuwakaribisha maswahiba wake kama MENGI kuchimba Tanzanite na kuendelea kuididimiza jamii ya kimasai.
Ni wakati sasa atuambie Amejenga Zahanati ngapi ili kuokoa maisha ya watu wa Simanjiro,ili kupunguza vifo vya mama mjamzito ili kupunguza vifo vya watoto wa chini ya miaka mitano, Atuambie amejenga shule ngapi, atuambie anasomesha watoto wangapi wa jamii yakimasai kwenye shule mbalimbali, amewasaidiaje watu wa Simanjiro kupata Maji au ndio hivyo visima anavyowatuma vijana wake kufukia kwa sababu tu vimechimbwa na asiowapenda anaacha kuangalia maslai ya wananchi.
Ni wakati sasa viongozi kuacha kujivika vilemba vya ukoka, na kuacha wananchi watupake mafuta na mgongo wa chupa.
It is high time now we stop judging the book with its cover.
Huyu mtu, Ole Sendeka, hata kwao hakubaliki, this is the fact, .
yeye Sendeka kama mbunge afanye yote hayo au serekali ndo ifanye?? Mchango wake katika vikao vya bunge unajulikana bana mpe sifa yake. Hizo huduma za zahanati, shule na blabla nyingine sio simanjiro peke yake zinakosekana, ni nchi nzima hamna kutokana na serikali kiziwi tulizonazo zisizojali huduma za jamii. Serikali zisizoweka mipango na kipaumbele kwenye ustawi wa jamii.Ni wakati sasa atuambie Amejenga Zahanati ngapi ili kuokoa maisha ya watu wa Simanjiro,ili kupunguza vifo vya mama mjamzito ili kupunguza vifo vya watoto wa chini ya miaka mitano, Atuambie amejenga shule ngapi, atuambie anasomesha watoto wangapi wa jamii yakimasai kwenye shule mbalimbali, amewasaidiaje watu wa Simanjiro kupata Maji au ndio hivyo visima anavyowatuma vijana wake kufukia kwa sababu tu vimechimbwa na asiowapenda anaacha kuangalia maslai ya wananchi.
It is high time now we stop judging the book with its cover.
Huyu mtu, Ole Sendeka, hata kwao hakubaliki, this is the fact, ambaye hakubaliani nami aende Simanjiro anatokea kata ya NABERERA, familia yao pamoja na yeye wameharibu eneo hili mpaka anaingia usiku sana na kuondoka alfajiri sana na eneo hili ndilo ambalo mdogo wake wa kuzaliwa ni Diwani nae hatakiwi kwasababu ya unyanyasaji. Sherehe za mapokezi zilifanyika ORKESMETI eneo la mbali kabisa na kwao,kila mwenye akili timamu anajua jamii ile ilikusanyika kwasababu tu zilichinjwa Ng'ombe KUMI na Mbuzi wengi.
This is what I call CHEAP politics, maisha yake ya kisiasa anayaendesha kwa huruma za wananchi bila ya kufanya lolote la msingi kwa jamii anayotokea. Anajipambanua kama mpiganaji wa Ufisadi lakini hili lina msaidia vipi kijana wa kimasai pale Naberera ilhali anazidi kuwakaribisha maswahiba wake kama MENGI kuchimba Tanzanite na kuendelea kuididimiza jamii ya kimasai.
Ni wakati sasa atuambie Amejenga Zahanati ngapi ili kuokoa maisha ya watu wa Simanjiro,ili kupunguza vifo vya mama mjamzito ili kupunguza vifo vya watoto wa chini ya miaka mitano, Atuambie amejenga shule ngapi, atuambie anasomesha watoto wangapi wa jamii yakimasai kwenye shule mbalimbali, amewasaidiaje watu wa Simanjiro kupata Maji au ndio hivyo visima anavyowatuma vijana wake kufukia kwa sababu tu vimechimbwa na asiowapenda anaacha kuangalia maslai ya wananchi.
Ni wakati sasa viongozi kuacha kujivika vilemba vya ukoka, na kuacha wananchi watupake mafuta na mgongo wa chupa.
Tatizo hata mie mbunge wangu ni chanzo cha matatizo ,analala Bungeni anaongea mala moja kwa miaka mitano , hana mpango na wananchi wake lakini akija anapokelewa kama Olesendeka sijui na huyu ni shujaa ??