Shujaa Olesendeka Apokelewa Jimboni

Msharika

JF-Expert Member
May 15, 2009
947
69
03_10_7qvevr.jpg

Unaweza muona shujaa wetu katikati. Kweli, ushindi huu ni mwanzo wa mapambano dhidi ya wezi wa haki.
 
03_10_7qvevr.jpg

Unaweza muona shujaa wetu katikati. Kweli, ushindi huu ni mwanzo wa mapambano dhidi ya wezi wa haki.
.

Asiye shujaa jimboni kwake ni yupi?
Kumbukumbu zinaonyesha kuwa Edward Lowassa naye alipokelewa hivyo hivyo.Mzee wa Vicent naye alikuwa shujaa ki noma.
 
.

Asiye shujaa jimboni kwake ni yupi?
Kumbukumbu zinaonyesha kuwa Edward Lowassa naye alipokelewa hivyo hivyo.Mzee wa Vicent naye alikuwa shujaa ki noma.


Join Date: Sat Mar 2010
Posts: 1
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0


Afande Karibu jamvini. Nimeipenda style yako ya utambulisho.

Kila shujaa ana wafuasi wake. Shujaa wa kupigana na ufisadi atapokelewa na wanaopinga ufisadi. Anayefanya ufisadi atapokelewa na wanaonufaika na ufisadi.

Ila shujaa halisi ni yule anayepigania maslahi ya walio wengi. Ole Sendeka Jimbo lolote akienda atapata mapokezi kama haya aliyoyapata jimboni mwake Tofauti na wengine.
 
It is high time now we stop judging the book with its cover.

Huyu mtu, Ole Sendeka, hata kwao hakubaliki, this is the fact, ambaye hakubaliani nami aende Simanjiro anatokea kata ya NABERERA, familia yao pamoja na yeye wameharibu eneo hili mpaka anaingia usiku sana na kuondoka alfajiri sana na eneo hili ndilo ambalo mdogo wake wa kuzaliwa ni Diwani nae hatakiwi kwasababu ya unyanyasaji. Sherehe za mapokezi zilifanyika ORKESMETI eneo la mbali kabisa na kwao,kila mwenye akili timamu anajua jamii ile ilikusanyika kwasababu tu zilichinjwa Ng'ombe KUMI na Mbuzi wengi.

This is what I call CHEAP politics, maisha yake ya kisiasa anayaendesha kwa huruma za wananchi bila ya kufanya lolote la msingi kwa jamii anayotokea. Anajipambanua kama mpiganaji wa Ufisadi lakini hili lina msaidia vipi kijana wa kimasai pale Naberera ilhali anazidi kuwakaribisha maswahiba wake kama MENGI kuchimba Tanzanite na kuendelea kuididimiza jamii ya kimasai.

Ni wakati sasa atuambie Amejenga Zahanati ngapi ili kuokoa maisha ya watu wa Simanjiro,ili kupunguza vifo vya mama mjamzito ili kupunguza vifo vya watoto wa chini ya miaka mitano, Atuambie amejenga shule ngapi, atuambie anasomesha watoto wangapi wa jamii yakimasai kwenye shule mbalimbali, amewasaidiaje watu wa Simanjiro kupata Maji au ndio hivyo visima anavyowatuma vijana wake kufukia kwa sababu tu vimechimbwa na asiowapenda anaacha kuangalia maslai ya wananchi.

Ni wakati sasa viongozi kuacha kujivika vilemba vya ukoka, na kuacha wananchi watupake mafuta na mgongo wa chupa.
 
It is high time now we stop judging the book with its cover.

Huyu mtu, Ole Sendeka, hata kwao hakubaliki, this is the fact, ambaye hakubaliani nami aende Simanjiro anatokea kata ya NABERERA, familia yao pamoja na yeye wameharibu eneo hili mpaka anaingia usiku sana na kuondoka alfajiri sana na eneo hili ndilo ambalo mdogo wake wa kuzaliwa ni Diwani nae hatakiwi kwasababu ya unyanyasaji. Sherehe za mapokezi zilifanyika ORKESMETI eneo la mbali kabisa na kwao,kila mwenye akili timamu anajua jamii ile ilikusanyika kwasababu tu zilichinjwa Ng'ombe KUMI na Mbuzi wengi.

This is what I call CHEAP politics, maisha yake ya kisiasa anayaendesha kwa huruma za wananchi bila ya kufanya lolote la msingi kwa jamii anayotokea. Anajipambanua kama mpiganaji wa Ufisadi lakini hili lina msaidia vipi kijana wa kimasai pale Naberera ilhali anazidi kuwakaribisha maswahiba wake kama MENGI kuchimba Tanzanite na kuendelea kuididimiza jamii ya kimasai.

Ni wakati sasa atuambie Amejenga Zahanati ngapi ili kuokoa maisha ya watu wa Simanjiro,ili kupunguza vifo vya mama mjamzito ili kupunguza vifo vya watoto wa chini ya miaka mitano, Atuambie amejenga shule ngapi, atuambie anasomesha watoto wangapi wa jamii yakimasai kwenye shule mbalimbali, amewasaidiaje watu wa Simanjiro kupata Maji au ndio hivyo visima anavyowatuma vijana wake kufukia kwa sababu tu vimechimbwa na asiowapenda anaacha kuangalia maslai ya wananchi.

Ni wakati sasa viongozi kuacha kujivika vilemba vya ukoka, na kuacha wananchi watupake mafuta na mgongo wa chupa.
Haya maneno yanafaa sana wakati wa kampeni utakapofika uvae magwanda upande kwenye jukwaa uwaeleze wapiga kura wa Simanjiro hakuna haja ya sisi kututaka tuende huko tutaenda majimbo mangapi
 
It is high time now we stop judging the book with its cover.

Huyu mtu, Ole Sendeka, hata kwao hakubaliki, this is the fact, .

Sasa alichaguliwaje, au alijichagua mwenyewe? Hebu substantiate hicho unachokiita 'fact'.
 
Kwani hizo kura anapigiwa na wananchi wa Naberera pekee ama jimbo zima!! Haya yeye hakubaliki, nani anakubalika sasa huko Simanjiro?
 
Ni wakati sasa atuambie Amejenga Zahanati ngapi ili kuokoa maisha ya watu wa Simanjiro,ili kupunguza vifo vya mama mjamzito ili kupunguza vifo vya watoto wa chini ya miaka mitano, Atuambie amejenga shule ngapi, atuambie anasomesha watoto wangapi wa jamii yakimasai kwenye shule mbalimbali, amewasaidiaje watu wa Simanjiro kupata Maji au ndio hivyo visima anavyowatuma vijana wake kufukia kwa sababu tu vimechimbwa na asiowapenda anaacha kuangalia maslai ya wananchi.
yeye Sendeka kama mbunge afanye yote hayo au serekali ndo ifanye?? Mchango wake katika vikao vya bunge unajulikana bana mpe sifa yake. Hizo huduma za zahanati, shule na blabla nyingine sio simanjiro peke yake zinakosekana, ni nchi nzima hamna kutokana na serikali kiziwi tulizonazo zisizojali huduma za jamii. Serikali zisizoweka mipango na kipaumbele kwenye ustawi wa jamii.
 
Tatizo hata mie mbunge wangu ni chanzo cha matatizo ,analala Bungeni anaongea mala moja kwa miaka mitano , hana mpango na wananchi wake lakini akija anapokelewa kama Olesendeka sijui na huyu ni shujaa ??
 
Jamani huyu jamaa anafaa sana kwa kazi kubwa.
tafuta statistics za kibunge zaidi utajua ushujaa wa Sendeka upo wapi????
Jitahidi kujenga hoja kwa maslahi ya taifa zaidi na si za kiitikadi.
 
It is high time now we stop judging the book with its cover.

Huyu mtu, Ole Sendeka, hata kwao hakubaliki, this is the fact, ambaye hakubaliani nami aende Simanjiro anatokea kata ya NABERERA, familia yao pamoja na yeye wameharibu eneo hili mpaka anaingia usiku sana na kuondoka alfajiri sana na eneo hili ndilo ambalo mdogo wake wa kuzaliwa ni Diwani nae hatakiwi kwasababu ya unyanyasaji. Sherehe za mapokezi zilifanyika ORKESMETI eneo la mbali kabisa na kwao,kila mwenye akili timamu anajua jamii ile ilikusanyika kwasababu tu zilichinjwa Ng'ombe KUMI na Mbuzi wengi.

This is what I call CHEAP politics, maisha yake ya kisiasa anayaendesha kwa huruma za wananchi bila ya kufanya lolote la msingi kwa jamii anayotokea. Anajipambanua kama mpiganaji wa Ufisadi lakini hili lina msaidia vipi kijana wa kimasai pale Naberera ilhali anazidi kuwakaribisha maswahiba wake kama MENGI kuchimba Tanzanite na kuendelea kuididimiza jamii ya kimasai.

Ni wakati sasa atuambie Amejenga Zahanati ngapi ili kuokoa maisha ya watu wa Simanjiro,ili kupunguza vifo vya mama mjamzito ili kupunguza vifo vya watoto wa chini ya miaka mitano, Atuambie amejenga shule ngapi, atuambie anasomesha watoto wangapi wa jamii yakimasai kwenye shule mbalimbali, amewasaidiaje watu wa Simanjiro kupata Maji au ndio hivyo visima anavyowatuma vijana wake kufukia kwa sababu tu vimechimbwa na asiowapenda anaacha kuangalia maslai ya wananchi.

Ni wakati sasa viongozi kuacha kujivika vilemba vya ukoka, na kuacha wananchi watupake mafuta na mgongo wa chupa.

Hata nabii hakubaliki nyumbani kwao. Sendeka amelipasha moto sana bunge la safari hii. Tunataka watu wasio na woga kulisema jembe kwa jina lake waziwazi bila kuangalia kushoto na kulia kwanza.

Of course hawezi kupendwa na watu wote, hata Mungu hapendwi na kila kiumbe chake.
 
Lazima utimize vigezo gani mpaka uitwe "shujaa" - kwa style hii kila mtu Tanzania ni shujaa.

hata ukishinda ki-jikesi cha ajabu ajabu basi ushaitwa "shujaa" - haya tujiandae kuongeza list ya mashujaa wetu mbali na akina Isike, Mkwawa, Mirambo...nk
 
Tatizo hata mie mbunge wangu ni chanzo cha matatizo ,analala Bungeni anaongea mala moja kwa miaka mitano , hana mpango na wananchi wake lakini akija anapokelewa kama Olesendeka sijui na huyu ni shujaa ??

Hapo ndipo na mini nina wasiwasi kwamba vigezo gani hawa jamaa wanatumia kumwita mtu shujaa - thanks Firstlady1.
 
Back
Top Bottom