Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

[SIZE="2"]Ndugu wana jamii forams ni muhimu sana kujitolea ile kuweza kuleta mabadiliko ya kisiasa ili uchumi wetu uweze kuonguzwa na watu wenye mtizamo chanya hivyo basi wewe ukiwa ni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nilikua naangalia bunge letu Live wakati wa mjadala wa mswada wa sheria ya madini cha kushangaza wakati wengine wakijadili kwa kina mswada huo muhimu baadhi ya wabunge walikuwa wakipiga soga kiasi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nime kaa na kutafakari hivi ni kwa nini kiongozi mkuu wa nchi ana beba lawama zote? Tuangalie mifano michache. Marekani mzigo wote sasa hivi ana bebeshwa lawama Obama, Uingereza sasa hivi Gordon...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu jana katika kipindi special cha American Pop Idol (BSS ya US) kiitwacho Idol Gives Back niliona kitu sikukielewa. Kipindi hicho ambacho ni mahususi kwa kuchangisha pesa kutoka kwa watazamaji...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
THE Immigration Department in Iringa Region has deported 51 illegal aliens of Somalia origin to their country after finalizing all the procedures of documentation, it has been disclosed. The...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Muswada madini wawabana wawekezaji wakubwa Send to a friend Thursday, 22 April 2010 23:30 Waziri wa Nishati na Madini William Ngeleja Frederick Katulanda, Dodoma WAZIRI wa Nishati na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Zitto Kabwe aipongeza CCM Send to a friend Wednesday, 21 April 2010 19:05 Salim Said NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Zitto Kabwe ameifagilia ilani ya...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Miaka ya miongo ya 60 na 70 ilikuwa ni ya kutamalaki kwa askari wa kukodiwa (mercenaries au kwa jina lingine, the dogs of war) kwenye uwanja eti wa “vita” wa Afrika. Waliokuwa macho miaka hiyo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hali ya sintofahamu kuhusiana na hatima ya mjadala wa sheria mpya ya madini, ambapo Spika Sitta jana alitangaza kwa mbwembwe kuwa mjadala huo ni leo, ametangaza kabisa ili wachangiaji wajiandae...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Siku zote huwa napena kuuliza na nashukuru sa kwa vile majibu yenu huwa yananisaidia sana,hivi KEWLI BADO TUNAHITAJI MUUNGANO?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Poll Poll
Duku duku zinazoenakana ndani ya Jamboforums (JamiiForums) ni kwamba itaweza kuwa Chama cha Upinzani 2010! Wachunguzi wamebaini kwamba wanachama machachari wa Upinzani na hata Chama tawala...
0 Reactions
148 Replies
16K Views
Wana JF mimi nilikuwa nataka tu discuss kwa nini viongozi wetu hasa waliopo madarakani Tanzania huwa wanakataa wasikae na wale contestants wao kutoka vyama vingine wakati wa kampeni ili kila mtu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Bunge limeanza kwa maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu, ambapo Spika Sitta ameyapiga chini maswali matatu toka kwa wabunge watatu wa upinzani. Swali la kwanza lilitoka kwa Kiongozi wa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
By Ani Jozen 13th April 2010 "African universities produce roughly one percent of academic titles issued annually around the world, a prominent local publisher said yesterday. Launching close to...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Kinadharia, jamhuri yetu inasimamiwa na mihimili mitatu. Mihimili hiyo ni Bunge ambalo kazi yake ni kutunga sheria, serikali ambayo kazi yake ni kusimamia na kutekeleza sheria zinazotungwa na...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nani alisema kukwama kwa JK huko Marekani ni bure? Our President is busy 'promoting' our good country... Charity is All in the Family for Brad and Doug Pitt Brad Pitt 's equally handsome...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
SERIKALI, ambayo inahaha kujaribu kuzuia mgomo wa wafanyakazi uliopangwa kufanyika kuanzia Mei 5, imetangaza nyongeza ya asilimia 100 ya mishahara ya kima cha chini kwa wafanyakazi wa sekta...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
WATU zaidi ya 200 mchanganyiko wa raia wa Burundi na Tanzania wamepiga kambi katika msitu wa hifadhi ya Igombe, wilayani Uyui na kujitangazia eneo hilo kuwa Jamhuri ya Ukombozi na kutundika...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Jamani wana JF:- Kutokana na kashfa ya Radar inayosadikiwa kwamba amehusika. Uingereza kukiri na kuamua kurudisha Tanzania kiasi cha pesa zizochukuliwa kifisadi. Kuwa na kiasi kikubwa cha pesa...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Kutokana na kuendelea kwa miripuko ya volcano huko Iceland, mashirika ya ndege yamesitisha safari zake ambapo yamepelekea rais Kikwete kuendelea kubaki nje ya nchi kinyume na ratiba yake...
0 Reactions
100 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…