Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,442
- 113,452
Hali ya sintofahamu kuhusiana na hatima ya mjadala wa sheria mpya ya madini, ambapo Spika Sitta jana alitangaza kwa mbwembwe kuwa mjadala huo ni leo, ametangaza kabisa ili wachangiaji wajiandae.
Sintofahamu hiyo imeibuka asubuhi hii hapa Dodoma, baada ya kukutikana habari kuwa mjadala huo haupo tena na badala yake, waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, atatoa taarifa ya serikali kuhusu hilo siku ya Ijumaa, ambyo ndio siku ya mwisho ya kikao hiki cha 19.
Update 8:00 am 22/04/10
Sintofahamu hii, itamalizika rasmi Saa 5:00 asubuhi hii (Aprili 22, 2010), baada ya kipindi cha maswali na majibu, Muswada huu utawasilishwa rasmi na Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Wiliam Ngeleja.
Sintofahamu hiyo imeibuka asubuhi hii hapa Dodoma, baada ya kukutikana habari kuwa mjadala huo haupo tena na badala yake, waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, atatoa taarifa ya serikali kuhusu hilo siku ya Ijumaa, ambyo ndio siku ya mwisho ya kikao hiki cha 19.
Update 8:00 am 22/04/10
Sintofahamu hii, itamalizika rasmi Saa 5:00 asubuhi hii (Aprili 22, 2010), baada ya kipindi cha maswali na majibu, Muswada huu utawasilishwa rasmi na Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Wiliam Ngeleja.