Mess
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 661
- 181
Wana JF mimi nilikuwa nataka tu discuss kwa nini viongozi wetu hasa waliopo madarakani Tanzania huwa wanakataa wasikae na wale contestants wao kutoka vyama vingine wakati wa kampeni ili kila mtu auze sela? nimefurahia tarehe 15april akina gorden brown, david cameron na clegg walipokutana na kuanza kuulizwa maswali kila mtu anajibu na wenyewe pia kujiuliza maswali na kujibishana, ambao tena leo unaendelea huko kwa mara ya pili. Je Tanzania kwa nini isifanyike kitu kama hicho? kwanza inawezekana?