Hata uingereza wanatumia utaratibu huu ndugu Spika, (Sauti za Bungeni)

Mess

JF-Expert Member
Mar 2, 2009
661
181
Wana JF mimi nilikuwa nataka tu discuss kwa nini viongozi wetu hasa waliopo madarakani Tanzania huwa wanakataa wasikae na wale contestants wao kutoka vyama vingine wakati wa kampeni ili kila mtu auze sela? nimefurahia tarehe 15april akina gorden brown, david cameron na clegg walipokutana na kuanza kuulizwa maswali kila mtu anajibu na wenyewe pia kujiuliza maswali na kujibishana, ambao tena leo unaendelea huko kwa mara ya pili. Je Tanzania kwa nini isifanyike kitu kama hicho? kwanza inawezekana?
 
unataka kujua jinsi walivyo shalow??????????????
waache bana sisi wadanganyika kwa hiyo kudanganywa kwetui freshi tu.......................
ndio maana jk akija tena na maisha bora kwa kila mtz tutamchagua tu kwa kuwa sisi ni wadanganyika...............HII NI AHADI AMBAYO MUNGU PEKEEE ANAWEZA KUAHIDI LAKINI PAMOJA NA KUJUA HIVYO WATU WANAZIBA MASIKIO...............................
bhandugu!!!!!!!!
 
unataka kujua jinsi walivyo shalow??????????????
waache bana sisi wadanganyika kwa hiyo kudanganywa kwetui freshi tu.......................
ndio maana jk akija tena na maisha bora kwa kila mtz tutamchagua tu kwa kuwa sisi ni wadanganyika...............HII NI AHADI AMBAYO MUNGU PEKEEE ANAWEZA KUAHIDI LAKINI PAMOJA NA KUJUA HIVYO WATU WANAZIBA MASIKIO...............................
bhandugu!!!!!!!!
CCM walikubali 1995 kwasababu walijua Ben ni kichwa ila wanaogopa sasa hivi maana Vasco da gama atakuwa kichekesho kwenye mdaalo.
 
Sasa hivi watu wa sisiem wanakataa..wanajua maswali yatakuwa mabaya, na watadhalilika!...hutasikia tena hiyo kitu, labda waulizaji waitwe ikulu, wachezwe, ndo waje kwenye ukumbi kuuliza sasa.period!
 
Nia ya mdahalo (debate) ni kwa ajili ya wananchi kusikia sera za chama na kumjua zaidi mgombea. Je tuna system au format itakayo fikia watu wengi? Ukiangalia t.v. nyingi ziko mjini(siyo kusema hakuna t.v. vijijini) au labda na radio. Tatizo naona huo mdahalo hauta fikia watu wengi na utamu wa mdahalo ni kuuona au kuusikia live siyo kuandikwa kweye magazeti. Tuki weza kupata format itakayo fikia asilimia kubwa ya wananchi then tuna weza kufikiria hilo swala.
 
Nakumbuka ilipangwa kufanyika 2005, lakini JK 'alimgwaya' Mbowe na kipindi kuahirishwa!
 
Nia ya mdahalo (debate) ni kwa ajili ya wananchi kusikia sera za chama na kumjua zaidi mgombea. Je tuna system au format itakayo fikia watu wengi? Ukiangalia t.v. nyingi ziko mjini(siyo kusema hakuna t.v. vijijini) au labda na radio. Tatizo naona huo mdahalo hauta fikia watu wengi na utamu wa mdahalo ni kuuona au kuusikia live siyo kuandikwa kweye magazeti. Tuki weza kupata format itakayo fikia asilimia kubwa ya wananchi then tuna weza kufikiria hilo swala.

Format nzuri na system huwa inakuja baada ya kujaribu na kuona matatizo then mnaanzia hapo kuboresha. Mimi napenda sana hiyo itokee kwa presidential candidates sio kutumia pesa tu. Tuone nani ana mawazo mazuri na nani yupo tu kwa sababu chama chake kina uwakilishi mkubwa bungeni. Kwanza ukiuangalia mdahalo hata ule wa Barack na Mcain utaona kuwa kila unachokiahidi unataonesha ni kwa jinsi gani utakifanya hicho kitu, io kukurupuka tu na kusema maisha bora kwa kila mtanzania, je utayafikiaje hayo maisha bora na indicator yako kuwa sasa maisha bora ni ipi? na inabidi uitaje wakati unafanya kampeni na sio vitu vinaishiahewani. Hatuwezi kumbana kikwete kwa sababu hakusema kiashiria cha maisha bora nini kipi, anaweza kusema kiashiria chake ni university of dodoma hatuwezi kukataa kwa sababu hakusema wakati wa kampeni. Nawaomba wana JF tu push hiki kitu kitokeee najua tunaweza.
 
Format nzuri na system huwa inakuja baada ya kujaribu na kuona matatizo then mnaanzia hapo kuboresha. Mimi napenda sana hiyo itokee kwa presidential candidates sio kutumia pesa tu. Tuone nani ana mawazo mazuri na nani yupo tu kwa sababu chama chake kina uwakilishi mkubwa bungeni. Kwanza ukiuangalia mdahalo hata ule wa Barack na Mcain utaona kuwa kila unachokiahidi unataonesha ni kwa jinsi gani utakifanya hicho kitu, io kukurupuka tu na kusema maisha bora kwa kila mtanzania, je utayafikiaje hayo maisha bora na indicator yako kuwa sasa maisha bora ni ipi? na inabidi uitaje wakati unafanya kampeni na sio vitu vinaishiahewani. Hatuwezi kumbana kikwete kwa sababu hakusema kiashiria cha maisha bora nini kipi, anaweza kusema kiashiria chake ni university of dodoma hatuwezi kukataa kwa sababu hakusema wakati wa kampeni. Nawaomba wana JF tu push hiki kitu kitokeee najua tunaweza.

Asante mkuu. Nakubaliana na yote uliyo sema.
 
Back
Top Bottom