Zitto Atufagilia CCM kwa utekelezaji wa ilani

MkamaP

JF-Expert Member
Jan 27, 2007
8,142
3,217
Zitto Kabwe aipongeza CCM Send to a friend
Wednesday, 21 April 2010 19:05

Salim Said

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Zitto Kabwe ameifagilia ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kufanikiwa kufanya uwekezaji mkubwa wa miradi ya maendeleo kuliko nchi yoyote kusini mwa bara la Afrika.

Zitto ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (Nac), aliyasema hayo bungeni mjini Dodoma jana alipokuwa akiwasilisha ripoti ya kamati yake kwa 2008/09.

Akiwasilisha ripoti hiyo aliyoisoma kwa muda wa nusu saa, Zitto alianza kuusifia uwekezaji wa miaka mitatu wa mradi mkubwa uliomo ndani ya ilani ya CCM wa ujenzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma.

“Mheshimiwa Spika uwekezaji huu wa miaka mitatu wa Chuo Kikuu cha Dodoma unagharimu jumla ya Sh800 bilioni ni mkubwa sana kwa nchi yetu lazima tupongeze,” alisema Zitto.

“Uwekezaji huu ni mkubwa kuliko uwekezaji wowote uliofanywa katika nchi zilipo kusini mwa bara la Afrika na ni zaidi ya uwekezaji wa miaka 10 kutoka nje,” aliendelea kusifu.

my note:
Lakini pamoja na kufagilia
Sijaona jinsi ajira milioni kadhaa kwa vijana zilivyotekelezeka. Na pia sijaona maisha bora kwa kila mtanzania.
 
Mimi nahofu tumekwisha poteza mpiganaji, mwanamageuzi. Hivi hizo fedha walizowekeza wamezitoa wapi? Huenda ndiyo Kagoda yenyewe! Sasa Zitto anasifu nini? Kutawalla nchi miaka 45 na kuwekeza hivyo vijisenti kunahitaji sifa kweli? Mimi nafikiri kuna kirusi fulani cha ubongo nchini Tanzania bado hatujakigundua na jina bado kupewa. Nawaomba radhi wana JF hili haliniingii kichwani.
 
He is a sell out, a cheap politicians hajua hata kufanya analysis sijui hiyo shule anayosoma kwa sasa anasoma nini. hajua kwamba analysis hazifanywi kwenye process indicators you need impact indicators, hajui kwamba huo anaouita uwekezaji hau qualify kuitwa hivyo kwa milestone yoyote, hajasoma hata hizo strategic intention za sera ya uwekezaji akaangalia na matokeo yake na kuyakuta sio tu ni zero bali negative. Hajasikiliza hata report ya baraza la uwezeshaji la April 7 2010. Hapo ndipo unapoona kwamba kweli Zitto bila Chadema ni mtupu alibebwa akapata umaarufu kwa migongo ya wenzake. Anatafuta cheo kwa JK anasahau kwamba hata huo uenyekiti wa kamati critical kama hizo na scholarship za ujerumani alizipata akiwa kavaa ngozi ya kondoo kumbe ndani ni wolf. Huyo ndio zitto Kabwe swala la vijana wakitanzania kusukumwa kwenye umaskini uliokithiri sio hoja kwake anymore, kwa sasa anataka position 'too cheap'.

Zitto Kabwe aipongeza CCM Send to a friend
Wednesday, 21 April 2010 19:05

Salim Said

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Zitto Kabwe ameifagilia ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kufanikiwa kufanya uwekezaji mkubwa wa miradi ya maendeleo kuliko nchi yoyote kusini mwa bara la Afrika.

Zitto ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (Nac), aliyasema hayo bungeni mjini Dodoma jana alipokuwa akiwasilisha ripoti ya kamati yake kwa 2008/09.

Akiwasilisha ripoti hiyo aliyoisoma kwa muda wa nusu saa, Zitto alianza kuusifia uwekezaji wa miaka mitatu wa mradi mkubwa uliomo ndani ya ilani ya CCM wa ujenzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma.

“Mheshimiwa Spika uwekezaji huu wa miaka mitatu wa Chuo Kikuu cha Dodoma unagharimu jumla ya Sh800 bilioni ni mkubwa sana kwa nchi yetu lazima tupongeze,” alisema Zitto.

“Uwekezaji huu ni mkubwa kuliko uwekezaji wowote uliofanywa katika nchi zilipo kusini mwa bara la Afrika na ni zaidi ya uwekezaji wa miaka 10 kutoka nje,” aliendelea kusifu.

my note:
Lakini pamoja na kufagilia
Sijaona jinsi ajira milioni kadhaa kwa vijana zilivyotekelezeka. Na pia sijaona maisha bora kwa kila mtanzania.
 
tatizo la siasa za uongo na unafiki zitazidi kuturudisha nyuma. Mpinzani wako akifanya jambo jema unampongeza huo ndo ukweli. Wewe MkamaP na chama chako mnatakiwa pia kupongeza mazuri yanayofanywa na wapinzani. Nampenda kwa kuwa mkweli katika hili. Hii haimainishi kwamba CCM wamefanya vizuri hata wawe majasiri kwetu wananchi. Madudu ni mengi kuliko mafanikio, na hili ndo tatizo.

Kikubwa ubovu unaanzia kwa Mhe. Rais. You can imagine, ndani ya mwezi mmoja yanatokea mambo mawili makubwa yanayoonyesha kuwa hawanazo:
1. Rais amesaini sheria kwa mbwembwe nyingi, siku tu baadae inajulikana kuwa inamakosa na inarudishwa bungeni huku wakiomba radhi.
2. Rais kasaini hati ya dharura ya kujadiliwa kwa mswada wa sheria ya madini. Kabla hata ya kujadiliwa bungeni wanaiondoa kwasababu inamakosa kibao.

Can you say this President na Serikali yake are siyo wasanii waliopewa nchi kimakosa, makosa ya wananchi kutowajua vizuri kabla ya kuvote.
 
tatizo la siasa za uongo na unafiki zitazidi kuturudisha nyuma. Mpinzani wako akifanya jambo jema unampongeza huo ndo ukweli. Wewe MkamaP na chama chako mnatakiwa pia kupongeza mazuri yanayofanywa na wapinzani. Nampenda kwa kuwa mkweli katika hili. Hii haimainishi kwamba CCM wamefanya vizuri hata wawe majasiri kwetu wananchi. Madudu ni mengi kuliko mafanikio, na hili ndo tatizo.

Kikubwa ubovu unaanzia kwa Mhe. Rais. You can imagine, ndani ya mwezi mmoja yanatokea mambo mawili makubwa yanayoonyesha kuwa hawanazo:
1. Rais amesaini sheria kwa mbwembwe nyingi, siku tu baadae inajulikana kuwa inamakosa na inarudishwa bungeni huku wakiomba radhi.
2. Rais kasaini hati ya dharura ya kujadiliwa kwa mswada wa sheria ya madini. Kabla hata ya kujadiliwa bungeni wanaiondoa kwasababu inamakosa kibao.

Can you say this President na Serikali yake are siyo wasanii waliopewa nchi kimakosa, makosa ya wananchi kutowajua vizuri kabla ya kuvote.

Mie kama mwana CCM ulivyosema
Sijaona Ilani iliyotekelezwa na chama changu, nafikiri huo ndo ukweli. Hasa ukizingatia ajira milioni kadhaa , vijana kuwezeshwa na masilahi bora kwa kila mtanzania hasa ukitilia maanani maisha yamekuwa je bora kama wafanyakazi tarehe 5 wanajiandaa kugoma kudai masilahi na je wakulima si ndo basi kabisa.

Mimi michango yangu huwa sina itikadi na mtu ,huwa najadili kulingana na topic
 
He is a sell out, a cheap politicians hajua hata kufanya analysis sijui hiyo shule anayosoma kwa sasa anasoma nini. hajua kwamba analysis hazifanywi kwenye process indicators you need impact indicators, hajui kwamba huo anaouita uwekezaji hau qualify kuitwa hivyo kwa milestone yoyote, hajasoma hata hizo strategic intention za sera ya uwekezaji akaangalia na matokeo yake na kuyakuta sio tu ni zero bali negative. Hajasikiliza hata report ya baraza la uwezeshaji la April 7 2010. Hapo ndipo unapoona kwamba kweli Zitto bila Chadema ni mtupu alibebwa akapata umaarufu kwa migongo ya wenzake. Anatafuta cheo kwa JK anasahau kwamba hata huo uenyekiti wa kamati critical kama hizo na scholarship za ujerumani alizipata akiwa kavaa ngozi ya kondoo kumbe ndani ni wolf. Huyo ndio zitto Kabwe swala la vijana wakitanzania kusukumwa kwenye umaskini uliokithiri sio hoja kwake anymore, kwa sasa anataka position 'too cheap'.

Sifikiri kama anaongea hivyo akiwa na maana ya kumendea kitu kutoka serikalini, yawezekana na mtazamo wake
 
Zitto Kabwe aipongeza CCM Send to a friend
Wednesday, 21 April 2010 19:05



"Uwekezaji huu ni mkubwa kuliko uwekezaji wowote uliofanywa katika nchi zilipo kusini mwa bara la Afrika na ni zaidi ya uwekezaji wa miaka 10 kutoka nje," aliendelea kusifu.

.


Zitto anaweza kutoa reference kusimamia kile alichokisema hapo juu. Nchi zilizoko kusini mwa bara la Afrika ni pamoja

na South Africa na Angola...........
 
Zitto Kabwe aipongeza CCM Send to a friend
Wednesday, 21 April 2010 19:05

Salim Said

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Zitto Kabwe ameifagilia ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kufanikiwa kufanya uwekezaji mkubwa wa miradi ya maendeleo kuliko nchi yoyote kusini mwa bara la Afrika.

Zitto ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (Nac), aliyasema hayo bungeni mjini Dodoma jana alipokuwa akiwasilisha ripoti ya kamati yake kwa 2008/09.

Akiwasilisha ripoti hiyo aliyoisoma kwa muda wa nusu saa, Zitto alianza kuusifia uwekezaji wa miaka mitatu wa mradi mkubwa uliomo ndani ya ilani ya CCM wa ujenzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma.

"Mheshimiwa Spika uwekezaji huu wa miaka mitatu wa Chuo Kikuu cha Dodoma unagharimu jumla ya Sh800 bilioni ni mkubwa sana kwa nchi yetu lazima tupongeze," alisema Zitto.

"Uwekezaji huu ni mkubwa kuliko uwekezaji wowote uliofanywa katika nchi zilipo kusini mwa bara la Afrika na ni zaidi ya uwekezaji wa miaka 10 kutoka nje," aliendelea kusifu.

my note:
Lakini pamoja na kufagilia
Sijaona jinsi ajira milioni kadhaa kwa vijana zilivyotekelezeka. Na pia sijaona maisha bora kwa kila mtanzania.

Sina uhakika kama ujenzi wa Chuo Kikuu Dodoma kama upo katika ilani ya CCM na umetamkwa bayana nakumbumka ilani ya Chadema ndio imetamka kuufanya mji wa dodoma kama kitovu cha elimu badala ya kuendeleza dhana ya makao makuu kutotekelezeka mwenye ilani karibu atusaidie
 
Zitto anaweza kutoa reference kusimamia kile alichokisema hapo juu. Nchi zilizoko kusini mwa bara la Afrika ni pamoja

na South Africa na Angola...........

Huku kusini mwa jangwa la sahara kuna nchi zinafanya vizuri sana kama Gaboni,Namibia.
Nafikiri japo sina uhakika wanasiasa badala ya kujenga hoja wamekuwa na mtindo wa kufanya reference kuhafanya hoja, mfano utasikia Tz imefanya vizuri sana ktk EAF.
Na kama wamefeli kujenga hoja utasikia hapo inabidi wananchi wa vijijini wakaelimishwe. Kuna kasumba fulani ambayo imeanza kujengeka nafikiri sio nzuri sana maana hawatupi takwimu zinazozitahili.
 
Wait!!!!, wakati zito anatoa hiyo ripoti bungeni alisema neno ILANI YA CCM??? AU ALISIFIA TU UWEKEZAJI??, we need to be careful here! !. Hilo moja

Pili kama amesema CCM Imetekeleza ilani ya uchaguzi na reference yake imekuwa ni UDOM tu tatizo nini nini? NIKISEMA KUWA CCM KWA KUJENGA UDOM IMETEKELEZA ILANI YAO YA UCHAGUZI NDIYO NI SAWA NA NIMESEMA KUWA CCM WAMETEKELEZA ILANI ZOTE ZA UCHAGUZI?????????????????????? great thinker vipi?
 
Kuna watu wanapenda kusikia shari tu, hawapendi kuona ushirikiano walau katika mambo tunayo yakubali wote. I see ho harm on what kabwe has said and ofcourse I am quit sure that the press man modified it to "sound" like he was speaking for CCM. This does not need a degree in quantum physics. I must say however that Zitto Kabwe needs to be careful on the use of hyperboles. Kutumia nchi nyingine kama kigezo au kilinganishi is wrong in its very root. Hatushindani. Matamanio yao ni tofauti etc. It is a sign of ignorance for a politician to start taking an imaginary journey to all countries he has been to (physically and mentally) only in the attempt to make his point wakati walengwa ni watu wa Meatu, Katerero na Ilembula!
 
mimi KARATA YANGU nilishaiondoa kwa huyu jamaa muda mwingi sana, nilishaona kama anatuchezea akili tangu pale alipokuwa na kurupushani kwenye chama akitaka kuondoka na kuachana na siasa. simwamini asilimia miamoja, na sitaki hata kusikia anavyoongea, kwasababu simwamini na sipendi, yaani sipendi. tatizo la watz, mtu akishapata kidogo tu, huwa anaona amefika, na anasahau hata ile imani watu waliyokuwa wameweka juu yake, anawatosa wafuasi wake yaani kwa kifupi. hii si vizuri.
 
Kuna watu wanapenda kusikia shari tu, hawapendi kuona ushirikiano walau katika mambo tunayo yakubali wote. I see ho harm on what kabwe has said and ofcourse I am quit sure that the press man modified it to "sound" like he was speaking for CCM. This does not need a degree in quantum physics. I must say however that Zitto Kabwe needs to be careful on the use of hyperboles. Kutumia nchi nyingine kama kigezo au kilinganishi is wrong in its very root. Hatushindani. Matamanio yao ni tofauti etc. It is a sign of ignorance for a politician to start taking an imaginary journey to all countries he has been to (physically and mentally) only in the attempt to make his point wakati walengwa ni watu wa Meatu, Katerero na Ilembula!

Well said brother, we should have our own standard of achievement, comparion with other countries is always wrong one! because we have different priorities, visions, etc.
 
He is a sell out, a cheap politicians hajua hata kufanya analysis sijui hiyo shule anayosoma kwa sasa anasoma nini. hajua kwamba analysis hazifanywi kwenye process indicators you need impact indicators, hajui kwamba huo anaouita uwekezaji hau qualify kuitwa hivyo kwa milestone yoyote, hajasoma hata hizo strategic intention za sera ya uwekezaji akaangalia na matokeo yake na kuyakuta sio tu ni zero bali negative. Hajasikiliza hata report ya baraza la uwezeshaji la April 7 2010. Hapo ndipo unapoona kwamba kweli Zitto bila Chadema ni mtupu alibebwa akapata umaarufu kwa migongo ya wenzake. Anatafuta cheo kwa JK anasahau kwamba hata huo uenyekiti wa kamati critical kama hizo na scholarship za ujerumani alizipata akiwa kavaa ngozi ya kondoo kumbe ndani ni wolf. Huyo ndio zitto Kabwe swala la vijana wakitanzania kusukumwa kwenye umaskini uliokithiri sio hoja kwake anymore, kwa sasa anataka position 'too cheap'.

mimi KARATA YANGU nilishaiondoa kwa huyu jamaa muda mwingi sana, nilishaona kama anatuchezea akili tangu pale alipokuwa na kurupushani kwenye chama akitaka kuondoka na kuachana na siasa. simwamini asilimia miamoja, na sitaki hata kusikia anavyoongea, kwasababu simwamini na sipendi, yaani sipendi. tatizo la watz, mtu akishapata kidogo tu, huwa anaona amefika, na anasahau hata ile imani watu waliyokuwa wameweka juu yake, anawatosa wafuasi wake yaani kwa kifupi. hii si vizuri.


Nyie mmejaa mjungu na hatred, afadhali Nndondo , Mwana wa Mungu pamoja na kuwa alarted kuwa mwangalifu na lugha iliyotumika na nini hasa kilichozungumzwa bado umekazania, kuwa 'anakuchezea akili' tumeona in past few years baadhi ya watu kumchukia sana Zito humu ndani ya JF simply kwa sababu amewaza tofauti! na wewe pamoja na jina zuri umetumbukia kwenye kundi la haters msio na sababu ya kumchukia! still Mwana wa Mungu?
 
Natabiri kwamba katika Baraza la Mawaziri baada ya uchaguzi kutakuwemo na at least mmoja toka upinzani ..... ninampa nafasi kubwa Zitto Kabwe. JK ataiga Marekani .... waziri wa ulinzi ni kutoka Republican party!
 
Natabiri kwamba katika Baraza la Mawaziri baada ya uchaguzi kutakuwemo na at least mmoja toka upinzani ..... ninampa nafasi kubwa Zitto Kabwe. JK ataiga Marekani .... waziri wa ulinzi ni kutoka Republican party!

Kwa katiba ipi? tumeshakuwa na serikali ya Mseto? Katika wana CCM milioni 4 hakuna atakayefaa ila wampe mpinzani?

Hao akina Zito inabidi watengeneze mazingira (wapigane)ya kuunda serikali ya Mseto na sio sandakalawe! nimefurahi unaona umuhimu wa serikali ya Mseto , yenye sura ya utaifa zaidi na sio kuwa colonised na CCM! However, wapinzani wachache sana au hamna wanaowaza swala la serikali ya Mseto! upinzani utakuwa upinzani tu baada ya Mseto( mabadiliko ya katiba) hali ya sasa ilivyo hamna upinzani Tanzania na ndio maana simply Mr. Kiwalani umeshaipa CCM urais wa mwaka 2010 na tayari uko hatua ya kuunda baraza la mawaziri! wakati wengine wanawaza uchaguzi. I van not blame you that is reality!
 
Zitto wala hajakosea, Kusini mwa jangwa la Sahara hakuna nchi kwa miaka mitatu iliyowekeza kwenye Elimu ya JUU kama Tanzania ilivyofanya. Kwa chuo kikuu cha UDOM pekee yake kuna nchi gani ndani ya miaka hii mitatu imejenga chuo kikubwa kama UDOM si mseme??? Waswana wamewekeza kwenye chuo cha Limkokwing University ambacho kinajengwa kwa nguvu ya Malasia lakini bado hakijaifikia UDOM. Hajadanganya, wanao bisha waseme ni nchi gani na imejenga chuo kipi kikubwa kuliko UDOM?
 
System yetu ya sasa inatengeneza, inalinda na ku-perpuate watu waongo, wadanganyifu na pretenders and all other egoistic personalities. The guy is clown period. The highlight of his pathetic political lil 'career' ni pale alipokimbia challenge ndogo tu hapa JF. Huhitaji kujiumauma maneno.

Maendeleo ya nchi yetu yanatakiwa yapimwe na POTENTIAL YETU sio against mediocre performances kutoka kwa nchi nyingine zinazo-underperform.
 
Zitto wala hajakosea, Kusini mwa jangwa la Sahara hakuna nchi kwa miaka mitatu iliyowekeza kwenye Elimu ya JUU kama Tanzania ilivyofanya. Kwa chuo kikuu cha UDOM pekee yake kuna nchi gani ndani ya miaka hii mitatu imejenga chuo kikubwa kama UDOM si mseme??? Waswana wamewekeza kwenye chuo cha Limkokwing University ambacho kinajengwa kwa nguvu ya Malasia lakini bado hakijaifikia UDOM. Hajadanganya, wanao bisha waseme ni nchi gani na imejenga chuo kipi kikubwa kuliko UDOM?


Wewe unachanganya mambo, Zitto amezungumzia uwekezaji kwa ujumla hakuwa specific katika masuala ya elimu. Pili, hoja yake iko flawed kwani inawezekana wenzetu kwa sasa vyuo sio priority kwani walishajenga miaka ya nyuma.
 
Wewe unachanganya mambo, Zitto amezungumzia uwekezaji kwa ujumla hakuwa specific katika masuala ya elimu. Pili, hoja yake iko flawed kwani inawezekana wenzetu kwa sasa vyuo sio priority kwani walishajenga miaka ya nyuma.

Hujasoma Post ya kwanza, Nenda kasome post #1 Utaona jinsi alivyongelea mfano wake kwa kutumia UDOM. Kwa hiyo kama hawajaweka Priority kwa mipango yao ya maendeleo miaka hii ya karibuni na sisi tumeweka na tumewekeza kuliko wao tusifanye uringanisho???

Mkuu Kama Zitto angekuwa amefanya general comparison ya kuwekeza kwenye elimu kwa miaka yote katika nchi za kusini mwa jangwa la Sahara hapo ningekubaliana na wewe, lakini kaweka kipindi maalumu kasema for the past 3 years. Sasa hata ukisema kuwa uwekezaji wa jumla njoo na Data, Nchi gani kusini mwa sahara ilifungua uwekezaji mkubwa katika kipindi cha miaka 3 ya hivi karibuni na kwa maeneo gani? Embu tuambie na Tanzania imeshika nafasi ipi kwenye eno lipi?
 
Back
Top Bottom