Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ramadhan Semtawa UCHAGUZI mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu, umegusa ratiba ya shughuli za Bunge, baada ya mkutano wake wa bajeti unaoanza kesho mjini Dodoma, kutarajiwa kufanyika...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tangu mfumo wa vyama vingi umeingia TZ, sijasikia chama kilichopata usajiri kwa mikiki kama CCJ Swali langu ni hili, hivi chama hiki kisipopata usajiri kuna athari zozote kisiasa, kiuchumi na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Inasemekana yule Mbunge machachari wa Rombo mwenye kesi mahakamini ya Ufisadi kipindi cha uongozi wake katika wizara nyeti ya Fedha amekuwa akigawa Tshs 5000 kwa kila mwanakijiji huko kijijini...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
By The guardian reporter 5th June 2010 Two foreign companies operating in Tanzania have reported extensive gold finds in the country. While Helio Resources Corporation says it has found...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Bunge latibuka kwa homa ya uchaguzi, LITAKUWA LA WIKI TANO, KUVUNJWA JULAI 16 Monday, 07 June 2010 Ramadhan Semtawa UCHAGUZI mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu, umegusa ratiba ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nilikuwa najiandaa kwenda kupumzika saa kumi na nusu hizi za alfajiri wakati vinzi karibu na ofisi ya msajili wa vyama vya siasa vinadokezakuwa leo mchana msajili amepanga kukutana na uongozi wa...
0 Reactions
154 Replies
13K Views
NA SULEIMAN JONGO KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoani Arusha, Daniel ole Porokwa, aliyetangaza nia ya kuwania ubunge Monduli katika uchaguzi mkuu wa Oktoba, mwaka huu, amejiondoa kwenye...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Uganda, Rwanda join SA and Angola in CHAN finals...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF), Seif Sharif Hamad ametabiri kuanguka kwa CCM katika uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba, kufuatia mazingira mazuri ya kisiasa, yaliyotokana na maridhiano kati...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
NA JOSEPH BURRA CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kuwa, Juni 21 hadi Julai mosi, mwaka huu, itakuwa kipindi cha kuchukua na kurudisha fomu kwa wanaowania urais wa Zanzibar na Jamhuri ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Na Exuper Kachenje 05 June 2010 Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)Rajabu Kiravu, akizungumza wakati wa mkutano wa pamoja kati ya tume hiyo na viongozi wa vyama vya siasa Dar es...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
TUCTA in new strike ultimatum By Staff writer 6th June 2010 TUCTA president Omari Ayoub The Trade Union Congress of Tanzania (TUCTA) has issued a seven-day ultimatum to the...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Chama cha Mapinduzi Zanzibar (CCM) kimeanza kuwafuatilia kwa karibu wanachama wanaojipigia kampeni za Urais wa Zanzibar kabla ya muda na wakithibitika kitawafutia uteuzi. Hatua hiyo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
CCJ: Msajili kabadili namba za wanachama Na Moshi Lusonzo Msajili wa Vyama vya Siasa, John Tendwa Uongozi wa Chama Cha Jamii (CCJ), umeibuka na kutoa madai ya kufanyiwa hujuma baada ya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kilango adaiwa kusambaza kadi feki za CCM Same Saturday, 05 June 2010 Elias Msuya MBUNGE wa Jimbo la Same Mashariki kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Anne Kilango amedaiwa kusambaza...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Pius Msekwa amesema chama hicho hakiwezi kushindwa katika uchaguzi mkuu ujao kwa kuwa ni sawa na mto Rufiji ambao hauwezi kukauka. Alifafanua mto...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Tanzania Daima (Jumatano) UNAWEZA kushangaa kwanini nawapa hongera CCM badala ya Shirikisho la Soka nchini kwa hatimaye kuleta timu bora zaidi ya soka duniani, yaani ya Brazil. Nikiwa mdau wa...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Waziri wa Nchi Afisi ya Rais (Fedha na Uchumi), Dk. Mwinyihaji Makame. Marekebisho ya Katiba ya Zanzibar yatakayoruhusu kuundwa kwa serikali ya Umoja wa Kitaifa yatalazimika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ama kweli yetu macho. Habari hizi toka katika gazeti la MWANANCHI zinadai MAFISADI wamemwaga hela kwa baadhi ya wabunge wa CCM ili waweze kumuondoa SPIKA SITTA. Naamini kama atasimama imara huku...
0 Reactions
138 Replies
19K Views
Wanabodi, KEYNOTE ADDRESS BY DR. SALIM AHMED SALIM AT THE OCCASION AFRICA VISION AWARDS NEW YORK – 20TH MAY 2010 AFRICA IN THE NEXT FIFTY YEARS Excellencies; Ladies and Gentlemen It is a...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…