Ramadhan Semtawa
UCHAGUZI mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu, umegusa ratiba ya shughuli za Bunge, baada ya mkutano wake wa bajeti unaoanza kesho mjini Dodoma, kutarajiwa kufanyika...
Tangu mfumo wa vyama vingi umeingia TZ, sijasikia chama kilichopata usajiri kwa mikiki kama CCJ
Swali langu ni hili, hivi chama hiki kisipopata usajiri kuna athari zozote kisiasa, kiuchumi na...
Inasemekana yule Mbunge machachari wa Rombo mwenye kesi mahakamini ya Ufisadi kipindi cha uongozi wake katika wizara nyeti ya Fedha amekuwa akigawa Tshs 5000 kwa kila mwanakijiji huko kijijini...
By The guardian reporter
5th June 2010
Two foreign companies operating in Tanzania have reported extensive gold finds in the country.
While Helio Resources Corporation says it has found...
Bunge latibuka kwa homa ya uchaguzi,
LITAKUWA LA WIKI TANO, KUVUNJWA JULAI 16
Monday, 07 June 2010
Ramadhan Semtawa
UCHAGUZI mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu, umegusa ratiba ya...
Nilikuwa najiandaa kwenda kupumzika saa kumi na nusu hizi za alfajiri wakati vinzi karibu na ofisi ya msajili wa vyama vya siasa vinadokezakuwa leo mchana msajili amepanga kukutana na uongozi wa...
NA SULEIMAN JONGO
KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoani Arusha, Daniel ole Porokwa, aliyetangaza nia ya kuwania ubunge Monduli katika uchaguzi mkuu wa Oktoba, mwaka huu, amejiondoa kwenye...
Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF), Seif Sharif Hamad ametabiri kuanguka kwa CCM katika uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba, kufuatia mazingira mazuri ya kisiasa, yaliyotokana na maridhiano kati...
NA JOSEPH BURRA
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kuwa, Juni 21 hadi Julai mosi, mwaka huu, itakuwa kipindi cha kuchukua na kurudisha fomu kwa wanaowania urais wa Zanzibar na Jamhuri ya...
Na Exuper Kachenje
05 June 2010
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)Rajabu Kiravu, akizungumza wakati wa mkutano wa pamoja kati ya tume hiyo na viongozi wa vyama vya siasa Dar es...
TUCTA in new strike ultimatum
By Staff writer
6th June 2010
TUCTA president Omari Ayoub
The Trade Union Congress of Tanzania (TUCTA) has issued a seven-day ultimatum to the...
Chama cha Mapinduzi Zanzibar (CCM) kimeanza kuwafuatilia kwa karibu wanachama wanaojipigia kampeni za Urais wa Zanzibar kabla ya muda na wakithibitika kitawafutia uteuzi.
Hatua hiyo...
CCJ: Msajili kabadili namba za wanachama
Na Moshi Lusonzo
Msajili wa Vyama vya Siasa, John Tendwa
Uongozi wa Chama Cha Jamii (CCJ), umeibuka na kutoa madai ya kufanyiwa hujuma baada ya...
Kilango adaiwa kusambaza kadi feki za CCM Same
Saturday, 05 June 2010
Elias Msuya
MBUNGE wa Jimbo la Same Mashariki kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Anne Kilango amedaiwa kusambaza...
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Pius Msekwa amesema chama hicho hakiwezi kushindwa katika uchaguzi mkuu ujao kwa kuwa ni sawa na mto Rufiji ambao hauwezi kukauka.
Alifafanua mto...
Tanzania Daima (Jumatano)
UNAWEZA kushangaa kwanini nawapa hongera CCM badala ya Shirikisho la Soka nchini kwa hatimaye kuleta timu bora zaidi ya soka duniani, yaani ya Brazil.
Nikiwa mdau wa...
Waziri wa Nchi Afisi ya Rais (Fedha na Uchumi), Dk. Mwinyihaji Makame.
Marekebisho ya Katiba ya Zanzibar yatakayoruhusu kuundwa kwa serikali ya Umoja wa Kitaifa yatalazimika...
Ama kweli yetu macho. Habari hizi toka katika gazeti la MWANANCHI zinadai MAFISADI wamemwaga hela kwa baadhi ya wabunge wa CCM ili waweze kumuondoa SPIKA SITTA. Naamini kama atasimama imara huku...
Wanabodi,
KEYNOTE ADDRESS BY DR. SALIM AHMED SALIM AT THE OCCASION AFRICA VISION AWARDS
NEW YORK 20TH MAY 2010
AFRICA IN THE NEXT FIFTY YEARS
Excellencies;
Ladies and Gentlemen
It is a...