Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

WanaJF, Je Tanzania ikipunguza matatizo ya rushwa mambo yatanyooka? Naona kuna tatizo flani sugu. Tamaduni yetu ya watu wenye akili kulenga kwenda university na hatimaye mara nyingi kutafuta...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Helo Members wa JF. na watanzania kwa ujumla. Tunajiandaa na uchaguzi hapo oktoba 31/10/2010. kila nikijaribu kuangalia na kutafakari kwa makini na nikijumlisha matamsha ya wanasiasa mbalimbali...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu! I hope ur all fine. Wengi wetu tumekuwa tukiamini kwamba ili mtu ashinde Ubunge au Udiwani basi ni lazima awe na alots of money na hii imepelekea watu wengi hasa vijana na wale wenye kipato...
0 Reactions
16 Replies
8K Views
Akitangaza ratiba hiyo Dk Slaa alifafanua kuwa fomu kwa wanachama wanatakaowania nafasi za ubunge, uwakilishi na udiwani zinaanza kutolewa Mei 3 kwenye ofisi za majimbo yaliyopo nchi nzima...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
LICHA ya kutangaza kutogombea urais mwaka 2010, waziri mkuu mstaafu, Frederick Sumaye bado anatajwa katika anga za kisiasa baada ya kuelezewa kuwa ni mmoja wa watu wanaoweza kujitokeza kupambana...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Ni masaa 60 yamepita toka hotuba ya Mh. Rais iishe pale Diamond Jubilee. Katika hotuba ile aliyoifanya mbele ya 'vikongwe' vya DSM (which to me is a wrong audience cosidering his theme) ilijaa...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Mohammed Seif Khatib amependekeza mgombea wa kiti cha urais atakayemrithi rais wa sasa Jakaya Kikwete, atoke visiwa vya Zanzibar. Waziri...
0 Reactions
43 Replies
6K Views
Habari hii toka mwanahalisi ya Tarehe 5 may, inanipa shaka juu ya tunakoelekea. Jihabarishe hapa HAPO zamani wananchi walioishi katika maeneo yenye madini waliamka asubuhi na kuokota madini...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jana nilikua naangalia taarifa ya habari ya TBC1, walikuwa wakimhoji Mh B Mkapa nje ya ukumbi wa Mlimani City baada WEF. Kuna sawali ambalo aliulizwa naye mH kutoa majibu yenye utata nikastuka...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa kweli nimekuwa pembeni kuangalia muelekeo wa Tanzania ,nilichokiona ni kule tunakoelekea hakuna faida nasi na nikionacho ni giza tupu ,kwa maana ya machafuko yatakayoisambaratisha Tanzania...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ni muda mrefu tumekuwa tukichangia humu kwa point nzuri sana, kwa uchungu mkubwa sana dhidi ya mambo yanavyoendeshwa katika nchi hii. Ni wakati umefika kuonyesha commitment yetu katika nchi yetu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nikama hakuna uchaguzi mkuu Tz 2010 kwani kilichopo ni kuthibitisha wana CCM watakao endelea kuitafuna Tanzania. Mwezi October na Novemba utasikia hivi CCM IMESHINDA KWA KISHINDO. Kikwete rais...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC). Jeshi la Polisi nchini limeamua kuondoa utaratibu wa kuweka askari wenye sare na silaha katika vituo vya wapiga kura ili...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Huku hali ni tete baada ya uchaguzi wa aina yake kuleta matokeo ambayo hayajawahi kutokea kwa muda mrefu - kuwepo wa bunge linaloning'inia. Nadhani nasi tunahitaji bunge la aina hii huko nyumbani...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jana kwa wale waliobahatika kumsikiliza Rais mstaafu wa awamu ya Tatu ndugu Ben Mkapa, watakubaliana nami kuwa huyu jamaa amekomaa kimtazamo na namna anavyowakilisha hoja zake na kilichounda hoja...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Mwinyi: Serikali ilinde ajira za wananchi wake Na Fredy Azzah - Mwananchi SIKU mbili baada ya Rais Jakaya Kikwete kutoa hotuba kali na maagizo ya kutimua wafanyakazi wote ambao wangeitikia...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Serikali za wenzetu wanawasikiliza civil cervants wao na kupata ufumbuzi wa matatizo yao. We need to borrow a leaf from them Click on the link below...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
:A S clock:Kwanza sijawahi kusikia nchi iliyofanya uchaguzi wa kidemokrasia ukawa huru na wa ukweli. Tumeona Marekani kila mara tangu enzi za Bush na leo hii ni UK. Kwa sisi waafrika ya nini...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ningependa kujua kuwa vyama vya upinzani vina mawazo gani kuhusu suala zima la madai ya TUCTA na kufuatilia vitisho vya serikali kuzuia wafanyakazi kugoma.
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Back
Top Bottom