Percival Salama
Senior Member
- Feb 3, 2010
- 118
- 7
Helo Members wa JF. na watanzania kwa ujumla.
Tunajiandaa na uchaguzi hapo oktoba 31/10/2010. kila nikijaribu kuangalia na kutafakari kwa makini na nikijumlisha matamsha ya wanasiasa mbalimbali inaonyesha kuwa kuna matokea yasiyotarajiwa kama ilivyozoeleka kwenye uchaguzi mkuu ujao.
Tutarajie mabadiliko makubwa kutokana na dunia kuwa kama kijiji kulikochangiwa kwa kiasi kikubwa na mabadiliko ya teknohama na utandawazi.
Let we see kama utabiri wa Baba wa taifa utatimia oktoba.
Tunajiandaa na uchaguzi hapo oktoba 31/10/2010. kila nikijaribu kuangalia na kutafakari kwa makini na nikijumlisha matamsha ya wanasiasa mbalimbali inaonyesha kuwa kuna matokea yasiyotarajiwa kama ilivyozoeleka kwenye uchaguzi mkuu ujao.
Tutarajie mabadiliko makubwa kutokana na dunia kuwa kama kijiji kulikochangiwa kwa kiasi kikubwa na mabadiliko ya teknohama na utandawazi.
Let we see kama utabiri wa Baba wa taifa utatimia oktoba.