Alwaz
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,115
- 10,822
:A S clock:Kwanza sijawahi kusikia nchi iliyofanya uchaguzi wa kidemokrasia ukawa huru na wa ukweli.
Tumeona Marekani kila mara tangu enzi za Bush na leo hii ni UK.
Kwa sisi waafrika ya nini kusumbuka na kutoa mwanya wa biashara ya nchi za ulaya na Amerika kuuza silaha,masanduku ya kura,wino na karatasi.
Mwishowe hatuna tunachokipata zaidi ya magonjwa ya moyo na uhasama baina ya ndugu.
Vipindi vya miaka mitano mitano!, mwisho mara 2!.Ninii?.Hata ufalme bora ilimradi tuishi kwa amani na kupendana.
Tumeona Marekani kila mara tangu enzi za Bush na leo hii ni UK.
Kwa sisi waafrika ya nini kusumbuka na kutoa mwanya wa biashara ya nchi za ulaya na Amerika kuuza silaha,masanduku ya kura,wino na karatasi.
Mwishowe hatuna tunachokipata zaidi ya magonjwa ya moyo na uhasama baina ya ndugu.
Vipindi vya miaka mitano mitano!, mwisho mara 2!.Ninii?.Hata ufalme bora ilimradi tuishi kwa amani na kupendana.