Ningependa kujua kuwa vyama vya upinzani vina mawazo gani kuhusu suala zima la madai ya TUCTA na kufuatilia vitisho vya serikali kuzuia wafanyakazi kugoma.
Tunakwenda wapi jamani na hii CCM???okey Asanteni wazee wa CHADEMA , naona mmeamua kuonyesha ukweli kuwa wale hawakua wazee wa DSM, wale walikua mamluki wa CCM, waliookotwa mitaani, na inadaiwa walipewa Tsh 10,000 baada ya kazi ngumu yakushangilia
Sometimes we needs to use logic... the moment you politicize employee rights... you have actually nullfying all processes...
CHADEMA Mulikuwepo siku zote hizo haki za wafanyakazi zimeanza leo?
Sometimes we needs to use logic... the moment you politicize employee rights... you have actually nullfying all processes...
CHADEMA Mulikuwepo siku zote hizo haki za wafanyakazi zimeanza leo?
Huyo Kasheshe huongozwa na ideology za itikadi wala si uelewa wa mambo alitaka hao wazee waandamane kupinga hotuba kabla ya hotuba yenyewe.Hakuna kuchelewa ktk kufanya mambo mazuri, swala ni wanachosimamia wao wazee wa chadema ni sahihi au sio.
By the way in respond kwa hotuba ya lrais kuhusu mgomo,je hiyo hotuba ilikuwepo miaka yote?
PumbaaaaaaaaaaaaaaNadhani unge-rekebisha sentensi yako na kuwa hivi...."Dr. Slaa ana maoni gani?" maana so far sioni chama cha upinzani kilichosimama imara zaidi ya Mh. Dr. Slaa as an individual.
Kasheshe,
Dr. Slaa ni Katibu Mkuu wa Chadema. Si vema kusema kuwa Dr. Slaa alishupalia kama individual. Kila alichofanya Dr. Slaa amefanya kwa kuwa amepewa fursa na Chadema.Hivyo si rahisi kumtenganisha Dr. Slaa na Chadema isipokuwa kama unafanya hivyo kwa makusudi. Isitoshe, Sidhani kama umesikia kauli ya kupinga kutoka Chadema kuhusu yale aliyosema Dr. Slaa. Ni leo mmesikia kuwa Wazee wa Dar-Es-Salaam wamenyimwa kibali cha kuandamana kwa amani ili kuwaunga mkono Wafanyi kazi. Nadhani hoja ipo wazi kabisa kuwa Chadema imeweka msimamo na msimamo wa Chadema uko wazi kabisa katika swala la Wafanyi kazi. Nilisema pia swala la Wafanyikazi na mishahara si swala la ushabiki na siasa ni swala la uhai wa sehemu kubwa ya Taifa letu, japo Rais amesema hahitaji kura zao. Sina hakika kama Rais amefanya hesabu kuna kura ngapi nyuma ya Wafanyi kazi, na kwa kuwa yeye ametamka hivyo hadharani asitulaumu tukianza kuchambua hotuba yake hiyo kisiasa pia.
Kasheshe,
Dr. Slaa ni Katibu Mkuu wa Chadema. Si vema kusema kuwa Dr. Slaa alishupalia kama individual. Kila alichofanya Dr. Slaa amefanya kwa kuwa amepewa fursa na Chadema.Hivyo si rahisi kumtenganisha Dr. Slaa na Chadema isipokuwa kama unafanya hivyo kwa makusudi. Isitoshe, Sidhani kama umesikia kauli ya kupinga kutoka Chadema kuhusu yale aliyosema Dr. Slaa. Ni leo mmesikia kuwa Wazee wa Dar-Es-Salaam wamenyimwa kibali cha kuandamana kwa amani ili kuwaunga mkono Wafanyi kazi. Nadhani hoja ipo wazi kabisa kuwa Chadema imeweka msimamo na msimamo wa Chadema uko wazi kabisa katika swala la Wafanyi kazi. Nilisema pia swala la Wafanyikazi na mishahara si swala la ushabiki na siasa ni swala la uhai wa sehemu kubwa ya Taifa letu, japo Rais amesema hahitaji kura zao. Sina hakika kama Rais amefanya hesabu kuna kura ngapi nyuma ya Wafanyi kazi, na kwa kuwa yeye ametamka hivyo hadharani asitulaumu tukianza kuchambua hotuba yake hiyo kisiasa pia.