jaxonwaziri
JF-Expert Member
- Feb 17, 2010
- 375
- 195
Jana kwa wale waliobahatika kumsikiliza Rais mstaafu wa awamu ya Tatu ndugu Ben Mkapa, watakubaliana nami kuwa huyu jamaa amekomaa kimtazamo na namna anavyowakilisha hoja zake na kilichounda hoja yake ni cha maana ambacho kila mmoja wetu anahitajika kukifikiria.
Ben alikuwa anawaasa watu kwenye mkutano unaoendelea hapo Mlimani City kuwa kuna baadhi ya watu/viongozi wa africa (na ni wengi sio wachache) wanaodhani kuna nchi humu duniani zipo kwa ajili ya kuiendeleza Africa, na wala sio Africa yenye wajibu wa kujitambua na kujiendeleza kwa juhudi zake..
Kwa mtazamo wangu mkapa alisema jambo sahihi ambalo kila mwana wa Africa, kiongozi na mwananchi wa kawaida kila mtu kwa nafasi yake anatakiwa alitilie maanani. Kwamba hatuwezi kuwategemea watu fulani waje tu kuja kutuletea maendeleo, tufike mahali tuamue kuwa maendeleo yetu yatakuja kwa juhudi zetu na kwa kufanya kazi kwetu kwa bidii na kwa kufanya maamuzi sahihi.
Mfano mzuri nchi hii, kila hotuba ya kila kiongozi siku hizi ina - kiji uchafu cha '..tunaomba wahisani...' yaani imefikia hatua kujenga barabara, shule, hospitali, miundo mbinu ya maji na mengine mengi tunahitaji wahisani, lakini kununua BMWs, V8s na posjo za vikao tunaweza kwa hela zetu, na isitoshe bado tunaendelea kuwapa wtu misamahaa ya kodi kwa kisingizio cha kuimarisha uwekezaji tena katika resources ambazo sio za kudumu kama madini ambayo huwa yanaisha baada ya kipindi fulani.
Tunahitaji mabadiliko, kuanzia kufikiri kwetu na hatimae kuenenda kwetu.
Mungu ibariki Tanzania na Watu wake, Tujalie kuwa na watu wenye mawazo sahihi juu ya hatima ya watanzania wote wa sasa na wa baadaye. AMEN
Kutoka Daily News:
Mkapa denounces culture of aid dependency
By FINNIGAN WA SIMBEYE,
6th May 2010
FORMER President Benjamin Mkapa today denounced a growing culture of over dependence on external aid among Africans, saying the practice was counterproductive.
Mr Mkapa who was Tanzania president from 1995 to 2005, said the majority of the people on the continent feel that development always needed foreign aid.
"Most of us think that it is other people's responsibility to help us develop ... I find it difficult to understand this culture of over dependence," Mr Mkapa told a well attended news conference as three Commissioners of Africa Commission updated the press on implementation of its recommendations.
Mr Mkapa said in the Commission's report which was sanctioned by former British Prime Minister, Tony Blair, they recommended for aid to be increased but implementation has not been encouraging.
He, however, said despite their aid increment recommendation in the report, it's not mandatory that the developed countries should provide the suggested amount which many African leaders have been calling for.
"People must understand that the responsibility to develop Africa is our own and nobody else," said Tanzania's Third Phase President who is credited with having established credible institutions and policies for economic growth.
Mr Mkapa heaped praise on Ethiopian Prime Minister, Meles Zenawi for his commitment to develop his country with very little foreign aid.
During Mkapa's 10-year administration, government revenue collection skyrocketed from less than 30bn/- in 2005 to more than 100bn/- when he retired. His administration also tamed inflation from double digit (18pc) to single digit of 5 per cent when he left office.
United Nations Human Settlement Development (UN Habitat) Executive Director, Prof Anna Tibaijuka said in the Africa Commission final report, there was a chapter on culture.
Without going into details, Prof Tibaijuka said the Commission's report singled out two major problems facing the continent which include HIV/AIDS and rapid urbanization.
She said the government's latest initiative to rejuvenate the agriculture sector through 'Kilimo Kwanza' would help address the problem of poverty in rural areas and force people to move from urban centres to the countryside.
Prime Minister Zenawi who is also one of the Commissioners, said he was happy to serve on the Commission whose final report's recommendations are currently being implemented.
"I can say that progress that we have seen in Africa recently is because of implementation of the Commission's report," Mr Zenawi noted.
Formed in 2004 to find out the reasons for Africa's underdevelopment, the Commission submitted its final report to Mr Blair in March, 2005.