Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Zisikilize kwa makini ahadi hizi ambazo ni sehemu ya ilani ya sisiemu, kisha tuchambue kama wametekeleza kwa usahihi kile walichoahidi ama la. Audio hizi ni sehemu ya CD nzima ya nyimbo za kampeni...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Hivi kweli Gordon Brown kachemsha zaidi kuliko JK hadi kufikia hatua ya kufanya uchaguzi? Nadhani inabidi watanzania tujifunze kutoka kwa wenzetu badala ya kuwa na desturi ya kusubiri hadi miaka...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakiondoa sababu nyingine zozote vi "nzi" vinaripoti kwa uhakika mkubwa kuwa Msajili wa Vyama vya siasa nchini Bw. John Tendwa na Waziri anayeshughulikia mambo ya siasa Bunge Bw. Phillip Marmo...
0 Reactions
48 Replies
4K Views
Tanzania inflation rate rises to 9.4 pct in April DAR ES SALAAM, May 17 (Reuters) - Tanzania's inflation rate rose in April for the first time since October last year as food and fuel price...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Kama ccm itamsimamisha jk basi wabunge wa ccm wachaguliwe kutoka hospital ya vichaa milembe watanzania tuamke mungu ibariki tanzania
0 Reactions
15 Replies
2K Views
It's been quite a while since our Dear leader Jakaya Mrisho Kikwete last visited the United Kingdom.As a seasoned world traveller,and in the spirit of the Anglo-Tanzania friendship,I suspect JK...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimekuwa nikifikiria jinsi mambo yanavyobadilika tukifika kwenye mwaka wa uchaguzi na hasa nikafikiria je ni kweli kwamba asilimia kubwa ya watanzania wanafaidika na kampeni au ndo wanaandaliwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nilikuwa napitia hii budget ya UK ya mwaka 2007/08. Kwa kweli kwa mwendo huu kujiona mapanzi ni sawa kabisa
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hivi jamani hebu tuongee ukweli yaani kutangazwa kote kule harambee ya kuchangia CCM Kilimanjaro kumepatikana millioni 200 tu? Hivi kunani huko Kilimanjaro? au ndo mwendo wa kususa maana najua...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Hivi tatizo nini kwamba karatasi za kupigia kura bado? Au mpaka wajue idadi ya wapiga kura? Zinazobaki bila kutumika inakuwaje?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna mjadala unaendelea wa kutafuta namna ya kumuenzi mzee Kawawa kwa kuliweka jina lake katika taasisi moja au zaidi ili kuakisi mchango wake katika historia ya ujenzi wa taifa letu. Hii...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wana JF nimekuwa nikufuatilia kwa makini hutuba nyingi za hivi karibuni za mhe Raisi katika ufunguzi wa miradi mbalimbali ya serikali. 1.Mradi wa maji kanda ya ziwa 2. Daraja la umoja na jana...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Rais anapoteuwa baraza la mawaziri huwa kuna considerations nyingi anafikiria, kama vile sifa za mteuliwa na pia hujaribu ku-strike a balance kwenye cabinet kwenye misingi ya ukabila, dini, maeneo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
I was excited when i heard that a bridge was going to be built. Well, It's CCM so I guess i should have known better. I mean really, some of this stuff is just common sense. Is Unity Bridge a...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Rais Kikwete. Wafadhili wameamua kupunguza fungu lao la pesa linalokuja kwenye bajeti yetu. Wameteoa masharti na vitisho ambavyo vyaonekeana wazi kuwa wanachotaka kutoka kwa Tanzania pamoja na...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Hivi huyu Rais wetu, JK, alikuwa anatumia initials JK? Hivi ni sahihi kweli kwani jina lake kamili ni Jakaya Mrisho Kikwete na inatakiwa kuwa JM Kikwete. Au labda aliona zikifanana na hayati...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
I've bee thinking about this for a while and I really had to do some soul searching before I made this decision. I was skeptical about admitting this to myself let alone to other people. I have...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Send to a friend Wednesday, 12 May 2010 05:39 0diggsdigg Ramadhan Semtawa MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma, Zitto Kabwe amesema kamati yake imeanza mchakato wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Na Mwandishi wetu, Mwanza KATIBU wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kata ya Isamilo wilayani Nyamagana mkoani Mwanza, Bahati Stepahano (50) amefariki dunia baada ya kuvamiwa ofisini kwake na kuchomwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
"Tumeendelea kuboresha Sheria ya Gharama za Uchaguzi, lakini, lile la takrima ni gumu. Mfano katika mkoa wa Kilimanjaro huwezi kuwaita wazee ukazungumza nao bila kitochi," alisema Kikwete...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Back
Top Bottom