Zisikilize kwa makini ahadi hizi ambazo ni sehemu ya ilani ya sisiemu, kisha tuchambue kama wametekeleza kwa usahihi kile walichoahidi ama la. Audio hizi ni sehemu ya CD nzima ya nyimbo za kampeni...
Hivi kweli Gordon Brown kachemsha zaidi kuliko JK hadi kufikia hatua ya kufanya uchaguzi? Nadhani inabidi watanzania tujifunze kutoka kwa wenzetu badala ya kuwa na desturi ya kusubiri hadi miaka...
Wakiondoa sababu nyingine zozote vi "nzi" vinaripoti kwa uhakika mkubwa kuwa Msajili wa Vyama vya siasa nchini Bw. John Tendwa na Waziri anayeshughulikia mambo ya siasa Bunge Bw. Phillip Marmo...
Tanzania inflation rate rises to 9.4 pct in April
DAR ES SALAAM, May 17 (Reuters) - Tanzania's inflation rate rose in April for the first time since October last year as food and fuel price...
It's been quite a while since our Dear leader Jakaya Mrisho Kikwete last visited the United Kingdom.As a seasoned world traveller,and in the spirit of the Anglo-Tanzania friendship,I suspect JK...
Nimekuwa nikifikiria jinsi mambo yanavyobadilika tukifika kwenye mwaka wa uchaguzi na hasa nikafikiria je ni kweli kwamba asilimia kubwa ya watanzania wanafaidika na kampeni au ndo wanaandaliwa...
Hivi jamani hebu tuongee ukweli yaani kutangazwa kote kule harambee ya kuchangia CCM Kilimanjaro kumepatikana millioni 200 tu? Hivi kunani huko Kilimanjaro? au ndo mwendo wa kususa maana najua...
Kuna mjadala unaendelea wa kutafuta namna ya kumuenzi mzee Kawawa kwa kuliweka jina lake katika taasisi moja au zaidi ili kuakisi mchango wake katika historia ya ujenzi wa taifa letu. Hii...
Wana JF nimekuwa nikufuatilia kwa makini hutuba nyingi za hivi karibuni za mhe Raisi katika ufunguzi wa miradi mbalimbali ya serikali. 1.Mradi wa maji kanda ya ziwa 2. Daraja la umoja na jana...
Rais anapoteuwa baraza la mawaziri huwa kuna considerations nyingi anafikiria, kama vile sifa za mteuliwa na pia hujaribu ku-strike a balance kwenye cabinet kwenye misingi ya ukabila, dini, maeneo...
I was excited when i heard that a bridge was going to be built. Well, It's CCM so I guess i should have known better. I mean really, some of this stuff is just common sense.
Is Unity Bridge a...
Rais Kikwete.
Wafadhili wameamua kupunguza fungu lao la pesa linalokuja kwenye bajeti yetu. Wameteoa masharti na vitisho ambavyo vyaonekeana wazi kuwa wanachotaka kutoka kwa Tanzania pamoja na...
Hivi huyu Rais wetu, JK, alikuwa anatumia initials JK? Hivi ni sahihi kweli kwani jina lake kamili ni Jakaya Mrisho Kikwete na inatakiwa kuwa JM Kikwete. Au labda aliona zikifanana na hayati...
I've bee thinking about this for a while and I really had to do some soul searching before I made this decision. I was skeptical about admitting this to myself let alone to other people. I have...
Send to a friend Wednesday, 12 May 2010 05:39 0diggsdigg
Ramadhan Semtawa
MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma, Zitto Kabwe amesema kamati yake imeanza mchakato wa...
Na Mwandishi wetu, Mwanza
KATIBU wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kata ya Isamilo wilayani
Nyamagana mkoani Mwanza, Bahati Stepahano (50) amefariki dunia baada
ya kuvamiwa ofisini kwake na kuchomwa...
"Tumeendelea kuboresha Sheria ya Gharama za Uchaguzi, lakini, lile la takrima ni gumu. Mfano katika mkoa wa Kilimanjaro huwezi kuwaita wazee ukazungumza nao bila kitochi," alisema Kikwete...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.