Initials za Kikwete ni hata kabla ya kuwa rais?

Mwanamayu

JF-Expert Member
May 7, 2010
11,371
6,502
Hivi huyu Rais wetu, JK, alikuwa anatumia initials JK? Hivi ni sahihi kweli kwani jina lake kamili ni Jakaya Mrisho Kikwete na inatakiwa kuwa JM Kikwete. Au labda aliona zikifanana na hayati Julius Kambarage Nyerere (JK Nyerere) atafanya vizuri, watu watamkubali au vipi?
 
JK ya Jakaya ni ndio full name yake yaani Jakaya Kikwete na hii JK ni Synoname, inajitosheleza.
JK ya Julius Kambarage, ilikuwa ni initials tuu, haukuwahi kujitegemea, yaani kwa lugha nyingine, Nyerere hakuwahi kuitwa JK, bali kila akitamkwa alitanguliwa na neno Mwalimu, JK likafuatia na kumaliziwa na Nyerere. Hivyo aliitwa Mwalimu JK Nyerere, au Mwalimu Nyerere bila JK, lakini hakuwahi kuitwa Mwalimu JK, au just JK bila Nyerere. Muungwana ni JK inayojitegemea!.
 
Hiyo ilianzishwa na wapambe wake (Yule mwanahabari ambawe alipewa kazi pale ikulu baada ya uchaguzi) walitaka kuwatenga watanzania wasiojua soma kwa kuwaambia huyo ni mtoto wa Hayati Nyerere, anatakiwa ajiite JM na sio JK kwani jina lake la tatu na la nne.............Mrisho Halfani yanapote sasa
 
Back
Top Bottom