Wana JF nimekuwa nikufuatilia kwa makini hutuba nyingi za hivi karibuni za mhe Raisi katika ufunguzi wa miradi mbalimbali ya serikali. 1.Mradi wa maji kanda ya ziwa 2. Daraja la umoja na jana tarehe 17 May 2010 uzinduzi wa EPZ pale mabibo. katika miradi yote hiyo amekuwa akimsifia ( Kumkubali ) Mhe . Benjamini William Mkapa kwa kufanya maamuzi magumu yenye ujasiri mkubwa. Sasa me najaribu tu kuwaza je sisi watanzania tutamkumbuka kwa lipi akishamalilza uongozi wake?
tunapowaza mimi binafsi nimeyaona yafuatayo
1.Ujenzi wa UDOM( Japokuwa sina uhakika wazo lianza wakati wa Mkapa au JK)
2.Ujenzi wa shule za kata ( Japokuwa walimu ni problem)
3.
4.
tuendelee kutasmini
Rais Kikwete amwagia tena sifa Mkapa
tunapowaza mimi binafsi nimeyaona yafuatayo
1.Ujenzi wa UDOM( Japokuwa sina uhakika wazo lianza wakati wa Mkapa au JK)
2.Ujenzi wa shule za kata ( Japokuwa walimu ni problem)
3.
4.
tuendelee kutasmini
Rais Kikwete amwagia tena sifa Mkapa