Mpenda Kwao
Senior Member
- Apr 29, 2008
- 175
- 18
Hivi kweli Gordon Brown kachemsha zaidi kuliko JK hadi kufikia hatua ya kufanya uchaguzi? Nadhani inabidi watanzania tujifunze kutoka kwa wenzetu badala ya kuwa na desturi ya kusubiri hadi miaka mitano na mbaya zaidi tunampa miaka mingine mitano ya kuendeleza haya yanayotokea.