Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

WAKATI vyama mbalimbali vikijitokeza kuwania nafasi ya Urais, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hakina papara ya kumtangaza mgombea wa nafasi hiyo mapema kwa kuhofia...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
MENEJA Uhusiano wa Benki ya NMB, Shyrose Sadruddin Bhanji, amejitosa kuwania nafasi ya ubunge jimbo la Kinondoni jijini Dar es Salaam kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa lengo la kuwa...
0 Reactions
47 Replies
7K Views
Bonyeza picha
0 Reactions
0 Replies
2K Views
The worst dictators named by US organisation THE SRI LANKA GUARDIAN, June 22, 2010. http://www.srilankaguardian.org/2010/06/worst-dictators-named-by-us.html A US organisation which prepared...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Jamani Mahakama ya Rufani Tanzania imetoa ukumu ya Naibu waziri Maua Daftrai kumlipa mdeni wake 100.7M aliyemtapeli. Je kwa hili anastahili kubaki waziri. Kosa ni wizi wa kujiaminisha.
0 Reactions
39 Replies
8K Views
Wana JF, Nilipita mikoani katika safari yangu na kwali niliyo yaona ni mengi sana esp. ktk kinyang'anyiro cha Ubunge kweli kuna makubwa sana mfano mtu yuko mwanza anataka agombee udiwani mwanza...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hivi kuna siri gani nyuma ya pazia? Yaani ccj imeshindwa kutimiza masharti ambayo hata mtikila aliyaweza?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Natumai wakuu mpo salama, Kuna jambo limeanza kujitokeza nadhani linaweza kutishia mtaala wa elimu kwani limekuwa linakuwa kwakasi kubwa sana. Hili si jengine bali ni suala la tofauti baina ya...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Ndugu zangu, Nimeona kule kwa Michuzi kwamba eti Bunge la Tanzania limepewa msaada wa kompyuta, tena zenye thamani ya TShs Milioni 20 tu, toka kwa ubalozi wa Korea ya kusini!! ==============...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Na Muhibu Said 13th July 2010 Hii ni dalili kuwa kuna upungufu wa nakala za Katiba ya nchi na wananchi wana haja ya kujua katiba inasema nini hasa, ndio maana kumekuwa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakati kipindi cha maswali na majibu kikiendelea sasa hivi, Spika wa bunge Bw. SS alisitisha maswali kwa muda na kutoa kauli kwamba amekua akipokea malalamiko kupitia ujumbe kutoka kwa wabunge...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Eti huyo Pweza anayetabiri katika mipira, akijaribiwa kwenye uchaguzi wa Uraisi Tanzania, then Akaingia kwenye Kopo la Upinzani, CCM watakubali uchaguzi ufanyike kweli?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani inakera ndio maana naona huu upinzani wizi mtupu na thaman kwako ukiwa ndani ya hicho chama ..naona lipumba kwenye tv ya tbc anawahadaa watu kuna rais alianza kugombea toka 1975 amepata...
0 Reactions
97 Replies
9K Views
Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, imeishauri Serikali ya Jamhuri ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, kulifanyia kazi suala la mafuta kuwa la Muungano ama la ili kulitolea...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
I doubt if Mr president means what he is speaking. How comes he is fearing of 2015 while several matters currently are at alarting situation? just go throuth the article at JK ahofia uchaguzi 2015...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MBUNGE wa Kasulu Magharibi, Kilontsi Mporogomyi (CCM), leo anatarajiwa kupandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya Dodoma kwa tuhuma za kusababisha kifo baada ya kumgonga mtembea kwa miguu na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wananchi wenzangu, wapiga kura, wapigiwa kura na wapigwa kura 2010. Kuna tetesi zimezagaa kwenye kitaa chetu hapa uswazi, na jamaa wananihakikishia kuwa wamepata nyeti kutoka White House zote...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mwaka 2010 Tanzania inaingia kwenye mchakato wa kuchagua viongozi wake, kwa miaka mingine mi-5!! Wakati mwingine najiuliza sana nini umuhimu wa kujihusisha na uchaguzi wakati nchi hii haina...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tanzania inahitaji Raisi mtendaji wa neno, si mchezaji, mnenguaji au mchekaji. Sina maana, kwa namna yoyote ile, kuwa mchezaji, mnenguaji au mchekaji, hafai kuliongoza Taifa letu, ila lazima...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wana JF, nilimsikiliza mwenyekiti wa TLP, I was realy fed up!!! Jamaa nadhani amepukutika upstairs. Hivi anaweza kuwa ndiye Malaria sugu humu jamvini nini? Hivi akiingia bungeni kupitia (anakodai...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Back
Top Bottom