Kindly read this!!!
Governments that steal together, stay together longer
Nicholas Sengoba
Recently a correspondent asked an interesting question. If as is said that corruption...
Na Saed Kubenea
Mwanahalisi~Maslahi ya Taifa Mbele
UTEUZI wa wakuu wapya wa wilaya, uhamisho wa baadhi na kustaafishwa kwa wengine, vinadaiwa kuingiliwa na mtandao wa aliyekuwa waziri mkuu...
Raza: Nchi imeoza
Asema tatizo ni uongozi wa juu wa CCM
Ashauri viongozi wanaotuhumiwa kwa ufisadi wakae pembeni
Godfrey Dilunga Machi 25, 2009
Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo...
Kuna mjadala unaendelea na nimeonelea ni vema kuanzisha mwingine ambao itaenda sambamba (baadae kuunganishwa) nikiambatanisha Audio version ya alichokiongea Mzee Malecela tarehe 25 Machi 2009...
Muda si mrefu uliopita TBC wametangaza kuwa hotuba ya Rais itakuwa hewani pindi itakapowafikia. Hotuba yake ya mwisho wa mwezi (hii inatolewa mwanzo wa mwezi)??? - sijui kama inapaswa kuitwa ya...
Ndesamburo ashitukia mgawo wa umeme
2009-04-02 11:31:36
Na Simon Mhina
Mbunge wa Moshi Mjini kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Philemon Ndesamburo, amesema kuna kila...
* Ni kwa kuongea na simu wakati wa mkutano
Na Fadhili Abdallah, Kigoma
MKUU wa mkoa wa Kigoma, Joseph Simbakalia, amemtimua kwenye kikao cha Bodi ya Barabara mbunge,Sijapata Nkayamba (Viti...
Tanga elephant tusks smuggling case: TRA official accused of conspiring with smugglers
THISDAY REPORTER
Dar es Salaam
AT least one official of the Tanzania Revenue Authority (TRA) is...
Nimeiwaza hii kitu baada ya kukumbuka maneno ya Mheshimiwa, Mtukufu wetu wa zamani, aliyekuwa Raisi bwana B.W Mkapa ya kwamba Watanzania ni wajinga. Yaani nikawaza mimi, baba na mama, babu na bibi...
Ya kina Chenge na dhana ya EJUL
Johnson Mbwambo Aprili 1, 2009
Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo
NILIPOKUWA nasoma sekondari, kuna kazi mbili tu ambazo nilizitamani kuzifanya...
Jana katika kituo cha Television cha DTV kulikuwa na mahojiano kati ya waandishi wa habari wa kituo hicho na Waziri wa habari, utamaduni na michezo, George H. Mkuchika, waandishi hao walipata...
QUOTE
Katibu wa Bunge akiri kufahamu tuhuma hizo
na Mwandishi Wetu
IKIWA takribani wiki moja sasa tangu gazeti hili liliporipoti jinsi wabunge wanavyochuma mamilioni ya fedha...
Hii ni kamati ipi?
Kashfa mpya: Kamati ya Bunge yahongwa
Katibu wa Bunge akiri kufahamu tuhuma hizo
na Mwandishi Wetu (Tanzania Daima)
IKIWA takribani wiki moja sasa tangu gazeti hili...
Kutokana na hali halisi ya sasa inayoendelea Tanzania husani katika nyanja ya siasa na uchumi kwa ujumla.
Je tunamuhitaji Nostra Damus atutabirie hatima ya inchi yetu??
Kila siku mambo mapya...
As global credit crunch bites harder: BoT seeks safer haven for foreign exchange reserves
MASATO MASATO
THIS DAY
Dar es Salaam
THE Bank of Tanzania (BoT) has moved the countrys foreign...
Baba wa Taifa Mwalimu J.K.Nyerere alianzisha msemo kuwa ili Tanzania iendelee twahitaji ARDHI,WATU,SIASA SAFI na UONGOZI BORA.Vitu vyote hivi vipo hadi leo lakini Tanzania iko nyuma...
Muheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete Rais wa inayoitwa Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania.
Muheshimiwa, wakati unafungua bunge kule Dodoma ,tarehe 30/12/2005,ulisema kwamba Zanzibar kuna mpasuko wa...
Baada ya kumsikiliza Mzee Cigwiyemwisi John Samwel Malecela kuhusu utamaduni wa ndani wa CCM kumwongezea kipindi kingine cha miaka mitano Raisi aliyeko madarakani, inabidi tukae chini kama...
Katika pita pita ya kanzi mitaa ya uarabuni kalikutana na mazungumzo yafuatayo kwenye Benki moja yenye makao makuu Canada.
Mfanyakazi:"Habari za leo kanzi?"
Ka-nzi: "Nzuri tu habari za hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.