Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kindly read this!!! Governments that steal together, stay together longer Nicholas Sengoba Recently a correspondent asked an interesting question. “If as is said that corruption...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Na Saed Kubenea Mwanahalisi~Maslahi ya Taifa Mbele UTEUZI wa wakuu wapya wa wilaya, uhamisho wa baadhi na kustaafishwa kwa wengine, vinadaiwa kuingiliwa na mtandao wa aliyekuwa waziri mkuu...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Raza: Nchi imeoza Asema tatizo ni uongozi wa juu wa CCM Ashauri viongozi wanaotuhumiwa kwa ufisadi wakae pembeni Godfrey Dilunga Machi 25, 2009 Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna mjadala unaendelea na nimeonelea ni vema kuanzisha mwingine ambao itaenda sambamba (baadae kuunganishwa) nikiambatanisha Audio version ya alichokiongea Mzee Malecela tarehe 25 Machi 2009...
0 Reactions
205 Replies
24K Views
Muda si mrefu uliopita TBC wametangaza kuwa hotuba ya Rais itakuwa hewani pindi itakapowafikia. Hotuba yake ya mwisho wa mwezi (hii inatolewa mwanzo wa mwezi)??? - sijui kama inapaswa kuitwa ya...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Ndesamburo ashitukia mgawo wa umeme 2009-04-02 11:31:36 Na Simon Mhina Mbunge wa Moshi Mjini kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Philemon Ndesamburo, amesema kuna kila...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
* Ni kwa kuongea na simu wakati wa mkutano Na Fadhili Abdallah, Kigoma MKUU wa mkoa wa Kigoma, Joseph Simbakalia, amemtimua kwenye kikao cha Bodi ya Barabara mbunge,Sijapata Nkayamba (Viti...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Tanga elephant tusks smuggling case: TRA official accused of conspiring with smugglers THISDAY REPORTER Dar es Salaam AT least one official of the Tanzania Revenue Authority (TRA) is...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nimeiwaza hii kitu baada ya kukumbuka maneno ya Mheshimiwa, Mtukufu wetu wa zamani, aliyekuwa Raisi bwana B.W Mkapa ya kwamba Watanzania ni wajinga. Yaani nikawaza mimi, baba na mama, babu na bibi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ya kina Chenge na dhana ya ‘EJUL’ Johnson Mbwambo Aprili 1, 2009 Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo NILIPOKUWA nasoma sekondari, kuna kazi mbili tu ambazo nilizitamani kuzifanya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jana katika kituo cha Television cha DTV kulikuwa na mahojiano kati ya waandishi wa habari wa kituo hicho na Waziri wa habari, utamaduni na michezo, George H. Mkuchika, waandishi hao walipata...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
QUOTE Katibu wa Bunge akiri kufahamu tuhuma hizo na Mwandishi Wetu IKIWA takribani wiki moja sasa tangu gazeti hili liliporipoti jinsi wabunge wanavyochuma mamilioni ya fedha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hii ni kamati ipi? Kashfa mpya: Kamati ya Bunge yahongwa • Katibu wa Bunge akiri kufahamu tuhuma hizo na Mwandishi Wetu (Tanzania Daima) IKIWA takribani wiki moja sasa tangu gazeti hili...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Kutokana na hali halisi ya sasa inayoendelea Tanzania husani katika nyanja ya siasa na uchumi kwa ujumla. Je tunamuhitaji Nostra Damus atutabirie hatima ya inchi yetu?? Kila siku mambo mapya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
As global credit crunch bites harder: BoT seeks safer haven for foreign exchange reserves MASATO MASATO THIS DAY Dar es Salaam THE Bank of Tanzania (BoT) has moved the country’s foreign...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Baba wa Taifa Mwalimu J.K.Nyerere alianzisha msemo kuwa ili Tanzania iendelee twahitaji ARDHI,WATU,SIASA SAFI na UONGOZI BORA.Vitu vyote hivi vipo hadi leo lakini Tanzania iko nyuma...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Muheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete Rais wa inayoitwa Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania. Muheshimiwa, wakati unafungua bunge kule Dodoma ,tarehe 30/12/2005,ulisema kwamba Zanzibar kuna mpasuko wa...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Baada ya kumsikiliza Mzee Cigwiyemwisi John Samwel Malecela kuhusu utamaduni wa ndani wa CCM kumwongezea kipindi kingine cha miaka mitano Raisi aliyeko madarakani, inabidi tukae chini kama...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Katika pita pita ya kanzi mitaa ya uarabuni kalikutana na mazungumzo yafuatayo kwenye Benki moja yenye makao makuu Canada. Mfanyakazi:"Habari za leo kanzi?" Ka-nzi: "Nzuri tu habari za hapa...
0 Reactions
78 Replies
10K Views
Kajiuzulu Resignation
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Back
Top Bottom