NASHANGAZWA NA MAAMUZI YA CCM KUSEMA HUSSEIN BASHE KUWA SI RAIA WA TZ,NA KUKUMBUSHIA HISTORIA YA ULIMWENGU PIA,SASA NI WAZI KWA YEYOTE AMBAYE ATKUWA KINYUME NA MATAKWA YA MABWANA WAKUBWA LAZIMA...
Akihojiwa na Clouds FM leo, January aliulizwa kama alimshirikisha baba yake katika azma yake ya kwenda kuomba uteuzi...
Wakati anajibu aliweka sentensi kuwa 'nilimwambia kuwa ...baba naenda...
Can Fragile Opposition Defeat CCM?
By Guardian on Sunday team, Dar Es Salaam, Tanzania
15th August 2010
Strategists within the ruling party are weighing their options after Dr Wilbrod Slaa's...
Zanzibar Wants Union Constitution Overhauled
By The Guardian reporter, 13th August 2010
Justice minister Chikawe not ready to comment on such a sensitive and delicate issue on phone
Zanzibar...
Nimepata taarifa toka kwa mdau mmoja toka dodoma ambaye alifanikiwa kujipenyeza
kwa wajumbe wa halmashauri kuu ya chama cha sisiem akawasikia wakisema wataicheza
tu kichama kuweka mambo level kwa...
Habari kutoka Dodoma zinadai kuwa aliyekuwa mbunge wa Mtera Mh. Malecela amepigwa chini wakati akiwa anategemea kurudishwa kwenye ugombea wa jimbo hilo. Habari vilevile zinadai kuwa Mzee Ruksa...
IKIWA imesalia takriban miezi miwili na nusu kabla ya uchaguzi mkuu, serikali inaonekana kuwaangukia wafanyakazi kwa kuongeza mishahara, huku kima cha chini "kikikaribia mapendekezo ya pili ya...
14th August 10
Mramba case set to resume September 3
Rosemary Mirondo
The Kisutu Resident Magistrate's Court will resume hearing of a case of abuse of office and...
Wakuu naleta mada ya uchokozi wa mawazo.
Siasa za mwaka huu 2010 zinaenda kwa kasi ya ajabu.Matukio ya kura ya maoni Zanzibar yanaashiria kuvuruga muunganp na kuleta umoja huku Bara ikiwa njia...
M. M. Mwanakijiji
JUZI Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), walipiga kura ili kuanza mchakato wa kujua ni kina nani watakuwa wagombea wa chama hicho kwenye nafasi za udiwani, uwakilishi na...
Ni kweli umekaa/umetutumikia muda mrefu,sasa ni wakati wako wa kupumzika,wala usijisikie vibaya kushindwa. Hata kama hakuna tafrija ya kukuaga,mimi nitakuaga kwa kukushukuru kwa machache mazuri...
THE government has warned the Tanzania Union Congress of Tanzania (TUCTA) to refrain from politics or face legal action.
The Deputy Attorney General, Mr George Masaju said in Dar es Salaam on...
East Africa's leading youth channel - East Africa Television (EATV/Radio) - yesterday launched a special campaign which aims at educating youths on the importance of participating in the...
Maadili ya uchaguzi yanalinda CCM
Na NdimaraTegambwage
YALE yanayoitwa "maadili," ambayo vyama vya siasa vinatakiwa kusaini na kufuata wakati wa kampeni na uchaguzi mkuu Oktoba mwaka huu...
Katika makala yake ya leo, Ansbert Ngurumo amejadili suala nyeti na ndani yake kuna tuhuma za hujuma za kimafia zikifanywa na wasaidizi wake juu ya wagombea ambao wanaonekana kuwa tishio kwake...
Na Jenerali Ulimwengu
Agosti 11, 2010
Raia Mwema
KATIKA hali tuliyoishuhudia wakati wa kura za maoni ndani ya chama - tawala si rahisi kwa ye yote anayefuatilia masuala ya siasa za nchi hii...
Ningekuwa mgombea ningehakikisha yafuatayo yanakuwa ngao yangu kwenye kampeni.
1. Kurudisha na kuimarisha Heshima na Hadhi ya Mwananchi na Taifa la Tanzania.
2. Kurudisha na kuimarisha Heshima...
ninapenda sana kuona uongozi wa vijana ktk nchi hii,alipokatishwa Zitto uenyekiti ili baadae agombee urais niliona kweli wazee wa CHADEMA ni waoga kwa vijana na ndio maana kumekuwa na kambi...
Mmoja wa wagombea ubunge wa CCM aliyeshinda nafasi hiyo kwenye kura za maoni amenusurika kuuwawa na jambazi aliiyetumwa kummaliza baada ya jambazi huyo kumwambia kwamba yeye ni mtu mwema...