Cheche za Fikra: "Mtanange wa Demokrasia" Toleo la 45

Asante Mzee Mwanakijiji, nakushukuru kwa kuiona tena 'Cheche' angani. Huu ni wakati wa kiangazi, majani yote yamekauka, hivyo cheche moja tuu yatosha kuwasha moto nyikani!.

shukrani.. mkuu Pasco tunatarajia ushirikiano kutoka kwenu. Nadhani waliokuwa wameinua matanga ya Cheche watashtuka..
 
Wazee hawanyamazi mpaka wafe!

It is good to see CHECHE again..
 
Ilani za vyama mara nyingi huwa nzuri, hakuna chama kinaweza kutoa ilani ya hovyo hovyo. Hata ukisoma ilani za CCM kwa chaguzi zilizopita, huwa ni nzuri, lakini utekelezaji/watekelezaji hakuna. Hongera sana CHADEMA kwa hiyo ilani japo sijaiona.
 
shukrani.. mkuu Pasco tunatarajia ushirikiano kutoka kwenu. Nadhani waliokuwa wameinua matanga ya Cheche watashtuka..

Mzee tumeshaanza kuisambaza naomba uitoe kila wiki hadi pale utawala wa haki na sheria utakapoingia madarakani.... Mungu aendelee kuwabariki wale wote wanaoendelea kupigana, wakati mwingine kwa ujira mdogo kuliko ambavyo wangeliweza kupata kama wangetumia uwezo wao kujinufaisha wao.. Nawaombea kwa Mungu ili nguvu na jitihada zao zilipwe pamoja na riba.
 
Mwankijiji nashukuru sana kwa cheche na info zako.
I dare calling you ''a senior patriotic citizen'' kupitia makala zako na riport zako hasa ile ya ''vyote vimeremetavyo''.
ubarikiwe mzalendo wa kweli.
 
Thanks mkuu. Jinsi cheche ilivyo naamini inaweza kutumiwa pia na wananchi wa kule kwetu. Vipi mikakati yake ya usambazaji?

Itasaidia sana.
 
Ilani za vyama mara nyingi huwa nzuri, hakuna chama kinaweza kutoa ilani ya hovyo hovyo. Hata ukisoma ilani za CCM kwa chaguzi zilizopita, huwa ni nzuri, lakini utekelezaji/watekelezaji hakuna. Hongera sana CHADEMA kwa hiyo ilani japo sijaiona.

kuna tofauti; nimesoma Ilani za CCM tangu zikiwa za TANU... naweza kusema pasipo shaka kabisa kuwa walichoandika Chadema hakifanani kabisa na hizi nyingine! Mkishajua dira wapi mnataka kwenda na mkakubaliana mnakotaka kwenda, na mkawaweka mbele yenu viongozi wa kuwaongoza huko mnakotaka kwenda basi kuitekeleza linabakia kuwa ni suala la kuwajibishana tu.
 
Mzee tumeshaanza kuisambaza naomba uitoe kila wiki hadi pale utawala wa haki na sheria utakapoingia madarakani.... Mungu aendelee kuwabariki wale wote wanaoendelea kupigana, wakati mwingine kwa ujira mdogo kuliko ambavyo wangeliweza kupata kama wangetumia uwezo wao kujinufaisha wao.. Nawaombea kwa Mungu ili nguvu na jitihada zao zilipwe pamoja na riba.

Shukrani!!!
 
Mwankijiji nashukuru sana kwa cheche na info zako.
I dare calling you ''a senior patriotic citizen'' kupitia makala zako na riport zako hasa ile ya ''vyote vimeremetavyo''.
ubarikiwe mzalendo wa kweli.


Nashukuru sana, tuko pamoja!
 
Thanks mkuu. Jinsi cheche ilivyo naamini inaweza kutumiwa pia na wananchi wa kule kwetu. Vipi mikakati yake ya usambazaji?

Itasaidia sana.


Ndugu yangu kijarida hiki kinafika sehemu ambazo huwezi hata kuamini.. kama kuna internet basi kimefika!
 
Ndugu yangu kijarida hiki kinafika sehemu ambazo huwezi hata kuamini.. kama kuna internet basi kimefika!

Naamini kataleta mabadiliko mkuu, naanza kupata moyo.

Shukrani sana mkuu, tulkamiss sana haka kakifimbo cheza ketu kwa wanyozi wa demokrasia.
 
Wazee hawanyamazi mpaka wafe!

It is good to see CHECHE again..

Happy Mzee to be seen in this period. Yes, on the same day when Dr Slaa send back his form to NEC.
We vijana are ready to receive your word full of challenge and wisdom.
Don't leave alone when we are in a battle to rescue our generartion from theirs of mafisadis.
 
nasukuru sana kwa kuiona tena cheche Mtaani, naamini sera ni ile ile ya copy ya bure kwa kila Mtanzania, Mharriri nitakutumia e-mail yangu na naamini nitapata copy kama kawaida
 
sijaisoma ila nitaisoma nililimisi sana hilo jarida nazani kungekuwa na kujitolea fulani ili kuliwezesha kwa atakaye penda ila mlolongo usiwe mrefu
 
kuna tofauti; nimesoma Ilani za CCM tangu zikiwa za TANU... naweza kusema pasipo shaka kabisa kuwa walichoandika Chadema hakifanani kabisa na hizi nyingine! Mkishajua dira wapi mnataka kwenda na mkakubaliana mnakotaka kwenda, na mkawaweka mbele yenu viongozi wa kuwaongoza huko mnakotaka kwenda basi kuitekeleza linabakia kuwa ni suala la kuwajibishana tu.
Kwa hiyo unataka kutuambia kwamba wewe Mwanakijiji tayari umekwisha isoma Ilani ya Chadema!
 
Back
Top Bottom