Liz Senior
JF-Expert Member
- Apr 19, 2007
- 483
- 53
Wenye nchi yao hivi sasa wamezua tafrani mjini. Kuna foleni ya kufa mtu hakuna gari linasogea...JK anarudisha fomu! Maisha bora kwa waendao kujenga Taifa!
Hapendwi mtu.pesa tu ndio tatizo.Hao wote ni waganga njaa tu.nikiwatazama ccm, mashabiki wao, im sorry ninamashaka juu ya jambo moja, ni kweli wanakipenda chama chao kwa itikadi ? ama bongo zao ...........................?
hivi jk ukiamua kuridisha hiyo fomu peke yako bila bughudha kwa watumia barabara utapungukiwa nini?
Kwanini asitumie chopper? Mbona Obama anatumia CHopper za jeshi kwa safari za mjini?Wenye nchi yao hivi sasa wamezua tafrani mjini. Kuna foleni ya kufa mtu hakuna gari linasogea...JK anarudisha fomu! Maisha bora kwa waendao kujenga Taifa!
Ho walioziba njia hawaendi kazini? Ama kweli hahitaji kura zenu wafanyakazi!!:lol:
Wenye nchi yao hivi sasa wamezua tafrani mjini. Kuna foleni ya kufa mtu hakuna gari linasogea...JK anarudisha fomu! Maisha bora kwa waendao kujenga Taifa!
Hivi Jk ukiamua kuridisha hiyo fomu Peke yako bila Bughudha kwa watumia barabara utapungukiwa nini?
Mbona Slaa kachukua fomu na lundo la watu?Acha ushabiki!
wakwere kwa sifa utawaweza??
yaaani ni wazuraji wale, waganga njaa, watu waliofadhaishwa na mfumo wa kilafi na kibakaji wa ccm, Ujinga wao unawapofusha macho, hawamjui adui yao, hawajui mchawi anae waulia watoto wao.
ccm inatumia ujinga wao kama mtaji, fulana, khanga, kofia, kweli ni matusi kwao. wamepumbazika kwa uduni na umasikini wao wa maisha.
Mkuki kwa nguruwe?Wenye nchi yao hivi sasa wamezua tafrani mjini. Kuna foleni ya kufa mtu hakuna gari linasogea...JK anarudisha fomu! Maisha bora kwa waendao kujenga Taifa!
Huwa nikiwaangalia supporters wa CCM nawaonea huruma. Maana hawajui nani ni mwana-ccm halisi. Wanajiendeaendea tu masikini. Siku wakijua patachimbika...
Mtaji wa CCM ni ujinga wa wadanganyika!!!!
Kwanini asitumie chopper? Mbona Obama anatumia CHopper za jeshi kwa safari za mjini?