Kwa hiyo?
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam William Lukuvi amepita bila kupingwa kwa tiketi ya CCM na kata tisa zilizopo jimbo la isimani wagombea wa CCM wapita bila Kupingwa
Jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe wa ccm amepita bila kupingwa
Ni Taarifa !CCM wameshachukua majimbo mawili !
Ina wapinzani hawakuwa na wagombea huko au?Ni Taarifa !CCM wameshachukua majimbo mawili !