Elections 2010 Lukuvi Isimani na Deo Filikunjombe ludewa wapita ubunge bila Kupingwa

Sir Leem

JF-Expert Member
Mar 14, 2008
581
122
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam William Lukuvi amepita bila kupingwa kwa tiketi ya CCM na kata tisa zilizopo jimbo la isimani wagombea wa CCM wapita bila Kupingwa

Jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe wa ccm amepita bila kupingwa
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam William Lukuvi amepita bila kupingwa kwa tiketi ya CCM na kata tisa zilizopo jimbo la isimani wagombea wa CCM wapita bila Kupingwa

Jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe wa ccm amepita bila kupingwa

Kwani uchaguzi mkuu tayari? Au unamaanisha ndio wagombea pekee huko waliko? Mbona sielewi hapa?!!
 
Back
Top Bottom