Napenda nianze kwa kuwaomba samahani wanawake kwa kauli yangu.
Nimefanya uchunguzi na kugundua kuwa umasikini wa nchi hii umetokana na kung'ng'ania CCM. CCM ni chama ambacho kimeshauzwa na kumilikiwa na watu wachache ambao wengi wao uraia ni wa mashaka. Hao ndio wanaopanga nani wa kukaa madarakani na nani wa kwenda mahali patakatifu.
Katika uchunguzi wangu nimegundua kuwa rushwa ya kanga za india ndiyo inayowaponza wanawake wengi na kuwafanya kuichagua sisiemu. Akina mama na akina dada zetu wamekubali kuwa cheap kiasi kinachowafanya kuendelea kuwa duni. Nasikia katika uchaguzi mdogo wa Busanda akina mama walihongwa hadi chupi za ndani.
Naomba akina mama tubadilike ili tulete mabadiliko ya kweli yatakayoleta maendeleo kwa kila Mtanzania badala ya maendeleo duni ya kutegemea kundi la watu au mtu katika sehemu fulani.
Nimefanya uchunguzi na kugundua kuwa umasikini wa nchi hii umetokana na kung'ng'ania CCM. CCM ni chama ambacho kimeshauzwa na kumilikiwa na watu wachache ambao wengi wao uraia ni wa mashaka. Hao ndio wanaopanga nani wa kukaa madarakani na nani wa kwenda mahali patakatifu.
Katika uchunguzi wangu nimegundua kuwa rushwa ya kanga za india ndiyo inayowaponza wanawake wengi na kuwafanya kuichagua sisiemu. Akina mama na akina dada zetu wamekubali kuwa cheap kiasi kinachowafanya kuendelea kuwa duni. Nasikia katika uchaguzi mdogo wa Busanda akina mama walihongwa hadi chupi za ndani.
Naomba akina mama tubadilike ili tulete mabadiliko ya kweli yatakayoleta maendeleo kwa kila Mtanzania badala ya maendeleo duni ya kutegemea kundi la watu au mtu katika sehemu fulani.